Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

Nimeona dimpo [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 

Mungu alijua ndiyo maana mpaka leo hajampa Mtoto kwani kwa tabia za ' Kipumbavu ' kama hizo sijui huyo Mtoto angejifunza nini kutoka kwa Mama yake. Kweli nimeamini kwamba Mwenyezi Mungu anajua kila ' Kusudio ' la mja wake na ndiyo maana kuna anaowanyima na anaowapa kwani huwa anakuwa ameshatusoma tokea akiwa anatuumba. Umri aliofikia Wema Sepetu sasa siyo tena wa kufanya ' Upuuzi ' huo na badala yake awaachie wanaochipukia kama akina Gigi Money na wengineo baadhi. Anajiaibisha na huko mbele atakuja Kujuta kwa mengi huku muda nao ukiwa umeshamuacha.
 
Huyu mdada anajua sikuhizi hatumwogopi kifimbocheza tunamwogopa shonza? Mama hawauku njoo
 
Mbona anaonekana kama mzito mno bearing za kiuni zimeisha?
 
Aisee Jinsi wema alivyoumbikaa kwa kweli Diamond yupo sahihi kurudiana nae...!! Hakuna wanaume rijali asiependa wowo.....wooo hasa zurii ka lileee..!! Mondi ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]madame[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…