Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimekusoma mkuu... kuna wakati lazima tuzikubali tofauti zetu na hasa kwenye udhaifu, na kwa namna hiyo tu ndo tutaweza kuishi kwa amani...Nimefurahishwa na jibu la AHSANTE, badala ya kumjibu kwa tusi! Jibu limeonyesha UTOFAUTI WA HEKIMA!
Toka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
MSANII wa Bongo Movies, Wema Sepetu amezua gumzo baada ya kuachia msambwanda wake LIVE wakati akiogelea pamoja na kaka yake Diamond Platnumz, Rommy Jones.
Katika kipande cha video kinachosambaa kwa kasi mitandaoni kinamuonesha Wema akikata mauno wakati wimbo wa Zaiidi wa Wowowo ukipigwa wimbo ambao unaonyesha kumfuyrahisha mlimbwende huyo na kuamua wowowo lake hadharani.
[emoji3] [emoji3] huyo na the likes . halafu wataanza kuponda sijui wanataka akiogelea avae baibuiKama Mange?
Hili nalo nenoWanawake wenye makalio makubwa wengi huwa hawana akili wakisifiwa tu akili zinahama usishangae
Leo nimekubalii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]Wema mzuri aisee,,
Aaha mkuu lilee lina kazii yake sio mpaka ulileeHaaah Kwani anakula 0712???
Aaha mkuu lilee lina kazii yake sio mpaka ulilee