Video ya Balozi wa Saudi Arabia akitolea maelezo kuhusu mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Video ya Balozi wa Saudi Arabia akitolea maelezo kuhusu mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Dogo,
Soma hii taarifa hapa chini ambayo ni ya huko huko Saudia ikithibitisha kuwa tayari washapewa bandari ya Bagamoyo...
👇

SAUDI ARABIA ACQUIRES TANZANIA’S ’s BAGAMOYO PORT

The Tanzanian authorities granted the Saudi African Investment and Development Co. (SADC) concession and acquisition rights for Bagamoyo Port in Tanzania, Saudi Press Agency reported, citing Chairman of Federation of Saudi Chambers of Commerce Hassan Al-Huwaizi.

The approval is part of SADC's "East Gateway Project," aimed at the East African region.

The initiative will bolster Saudi Arabia’s position as a key driver of global economic development, attract greater foreign investment (particularly in Africa), and strengthen its logistical capacity to deliver Saudi exports worldwide.

At the Saudi-Tanzanian Business Forum, supported by the Saudi Chambers, the Kingdom took a strategic step to strengthen economic ties with Zanzibar and explore new investment opportunities in the region, as part of its broader initiative to expand into African markets.

The Port of Bagamoyo holds significant strategic value for Saudi Arabia, serving as East Africa's primary logistical gateway. It will facilitate trade for Tanzania and neighboring countries, becoming the central hub for exporting African raw materials and natural resources globally, and for importing goods into Africa.


Saudi Arabia acquires Tanzania’s Bagamoyo port Saudi Arabia acquires Tanzania’s Bagamoyo port

Na taarifa ya ndani ya Tanzania juu ya hilo deal ni hii hapa chini...

Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project | The Guardian Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project | The Guardian
Aiseee nchi ina wajinga wengi sana.

Mimi nimekupa taarifa ya kauli ya mtu aliyekuwepo kwenye utiaji sahini wewe unakomalia habari za uongo.
 
Deal imefanyika wapi?

Umememsikia na kumuelewa balozi?
Acheni uzushi na umbeya jengeni chama.

Siamini kuwa wewe ni mzanzibari unayefaidika na mali za Tanganyika kupitia mikataba ya kishenzi na waarabu.

KUpitia mikataba ya kishenzi:

1) Tumepoteza bandari yetu
2) Kupitia mikataba ya kishenzi tumepoteza mbuga zetu za wanyama

3) Kupitia mikataba ya kishenzi tumepoteza hifadhi zetu za misitu

4) Kupitia mikataba ya kishenzi watu wetu wananyanyaswa na kufukuzwa kwenye maeneo yao ya asili.

5) Kupitia mikataba ya kishenzi tumegawa uwanja wetu wa ndege wa KIA.

NA HIVI VYOTE WAMEPEWA WAARABU VIKIWA TAYARI VIPO AU VIKIWA VIMEJENGWA. Hakuna hata kimoja walichokijenga au kutengeneza hao waarabu. Hawa ni wawekezaji au waporaji??

Kama ni Mtanganyika, nakusihi rudi kwenye hekima na uzalendo wa Taifa lako. Kama ni Mzanzibari, endelea kufaidi lakini ujue kuna siku wenye mali watainuka na kurudisha mlivyovipora kupitia uwekezaji fake. Hivi kama una akili timamu, mtu anawekeza nini kwenye mbuga ya wanyama au hifadhi za misitu!!
 
Wapi Tanzania imeuzwa?

Hii style ya uongo na kuchafua watu ndio imekuwa lifestyle ya Chadema.

Akiifanya Lissu kwa Mbowe mnajifanya mmeumia kumbe ukabila unawasumbua.
Nimesema Tanganyika ndiyo imeuzwa.
uNAKATAA Mkataba umeuona?
Pili nani ni kabila la Mbowe? una speculate tu na akili mbovu....

At least ume admit kuwa Lisu alifanya vitendo/kauli mbaya kwa Mbowe...bravo!

SAUDI ARABIA WACHUKUA BANDARI YA BAGAMOYO.Saudi Arabia imetangaza kuchukua Bandari ya Bagamoyo iliyopo ardhi ya Tanzania, kama sehemu ya mradi wake unaoitwa “East Gate”.

Mradi huo wa Saudi Arabia unaoitwa “East Gate” unalenga kuimarisha nafasi ya eneo la Bandari kama kitovu cha biashara DunianiUwekezaji huo katika bandari ya Bagamoyo unalenga kuleta uchumi mseto na kufungua masoko mapya kwa mauzo ya nje ya Saudi.

Eneo la mradi ni hekta 887, na kuifanya kuwa moja ya miradi mikubwa ya bahari katika kanda. na eneo maalumu la viwanda hekta 2,200.Fursa za uwekezaji eneo hilo zitatolewa kwa makampuni ya Saudi Arabia katika sekta kama usafiri wa baharini, vifaa, nishati na madini.

Bandari itatumika kama kituo cha masoko kwa ajili ya kusafirisha bidhaa za Saudia, hasa mafuta na mafuta ya petroli, masoko ya Afrika.Lakini Serikali ya Tanzania haijaweka wazi mkataba wa uuzaji huo wa bandari ya Bagamoyo kwa Saudi Arabia au kujadiliwa bungeni.

Mradi huo wa bandari ya Bagamoyo haujaelezwa umeuzwa kwa Saudi Arabia kwa muda wa miaka mingapi na kwa gharama za kiasi gani. Serikali ya Tanzania kupitia TPA 2024/25 ilitenga Sh22 bilioni kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi Bandari ya Bagamoyo.

Zaidi ya US$10 bilioni (takribani Sh23 trilioni) zilitarajiwa kutumika katika ujenzi huo utakaohusisha ujenzi wa bandari yenyeweUjenzi utahusisha kituo cha usafirishaji wa mizigo kwenye eneo la hekta 887, eneo maalumu la viwanda lenye ukubwa wa hekta 2,200.Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari (TPA) imekamilisha kulipa fidia kwa wananchi wanaopisha mradi ukubwa wa hekta 887.

Wazo la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo lilianza na mpango uliobuniwa na serikali ya Tanzania 2004 ulioitwa Tanzania-Mini Tiger 2020Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulilenga nchi yenye uchumi wa ’tiger’ kupitia viwanda kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje. Uulisukumwa na mafanikio yaliyopatikan katika nchi zinazoitwa ‘Four Asian Tigers’ - Korea Kusini, Hong Kong, Taiwan na Singapore Mradi wa bandari ya Bagamoyo ulianza kutekelezwa 2005, ambapo ulilenga kuendeleza kilimo, elimu, barabara, maji na uwekezaji.

Kipindi cha majaribio kati ya mwaka 2005 mpaka 2020 ulipaswa kuhusisha ujenzi wa kanda maalumu za kiuchumi (SEZ).Ukanda maalumu wa Kiuchumi wa Bagamoyo, ukawekewa misingi na Bandari ya Bagamoyo ilipoonekana ni jambo linalohitajika.Ujenzi ulizinduliwa 2015 na J.K Kikwete, ukasitishwa 2019 na J.P Magufuli kwa madai ya kuwepo masharti magumu ya mwekezaji.

Masharti; baada ya bandari kukamilika, Tanzania haitaruhusiwa kujenga na kuendeleza bandari yoyote pwani ya Bahari ya HindiMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru/ kodi eneo la bandari na kutaka wapewe hakikisho la miaka 33.Huku wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi hiyo kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo.Swali.

Je, masharti hayo ya uwekezaji ambayo yalionekana ni magumu na ajabu kutekelezwa na John Magufuli, ndiyo yametumika sasa?Je, bunge limepata nafasi ya kujadili masharti ya uwekezaji na uendelezaji wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo?

Bunge la ngapi na kikao gani?Serikali iliamua ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulioanza 2023/24 usimamiwe na kutekelezwa na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari (TPA)Nini kimewafanya TPA na Serikali 2024/25 mwezi pili tu kuwapa Saudi Arabia Bandari ya Bagamoyo ambayo tumewekeza fedha tayari?Sijaona mkataba, lakini kama ni kweli hayo masharti yapo, ni muhimu yakawekwa kwenye mjadala, watanzania wote wajadili masharti.

Binafsi nafahamu, mwekezaji kutoa matrilioni ya shilingi, bila kunufaika kwa namna yoyote, sidhani kama ni rahisi. Haiwezekani kabisa.MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
 
Hizo habari ni za uzushi mimi nimekupa habari from the source. Hapa kigumu ni kipi kuelewa?
Argaan News Wazushi? Halafu wapo KSA, vipi? Na ile barua nimeuliza, template gani hiyo barua imeandikwa? Template ya Ubalozi kama Saudi Arabia ikosee tarehe? Template za computer za kisasa hujisahihisha zenyewe au kukuomba usahihishe. Many questions. Probability kubwa ni kuwa hii Habari ni kweli ila ilibidi isitangazwe, sasa baada ya kutangazwa mnashikana mashati!
 
Inaanzaga hivyo hivyo, taratibu Tu kutoka kwenye fake news Hadi kwenye ukweli....

Last week Mwananchi walipoyoa habari za kufungwa barabara kwa sababu ya maxungumzo ya vita vya DRC, Msigwa chapuchapu alitoka kukanudha na kuwakemea. Sasa kwa kukaa kimya kwa issue kubwa zaidi ni ujumbe tosha kuwa habari ni ya ukweli. Wanajiaandaa kuja kupotosha.
 
Nimesema Tanganyika ndiyo imeuzwa.
uNAKATAA Mkataba umeuona?
Pili nani ni kabila la Mbowe? una speculate tu na akili mbovu....

At least ume admit kuwa Lisu alifanya vitendo/kauli mbaya kwa Mbowe...bravo!

SAUDI ARABIA WACHUKUA BANDARI YA BAGAMOYO.Saudi Arabia imetangaza kuchukua Bandari ya Bagamoyo iliyopo ardhi ya Tanzania, kama sehemu ya mradi wake unaoitwa “East Gate”.

Mradi huo wa Saudi Arabia unaoitwa “East Gate” unalenga kuimarisha nafasi ya eneo la Bandari kama kitovu cha biashara DunianiUwekezaji huo katika bandari ya Bagamoyo unalenga kuleta uchumi mseto na kufungua masoko mapya kwa mauzo ya nje ya Saudi.

Eneo la mradi ni hekta 887, na kuifanya kuwa moja ya miradi mikubwa ya bahari katika kanda. na eneo maalumu la viwanda hekta 2,200.Fursa za uwekezaji eneo hilo zitatolewa kwa makampuni ya Saudi Arabia katika sekta kama usafiri wa baharini, vifaa, nishati na madini.

Bandari itatumika kama kituo cha masoko kwa ajili ya kusafirisha bidhaa za Saudia, hasa mafuta na mafuta ya petroli, masoko ya Afrika.Lakini Serikali ya Tanzania haijaweka wazi mkataba wa uuzaji huo wa bandari ya Bagamoyo kwa Saudi Arabia au kujadiliwa bungeni.

Mradi huo wa bandari ya Bagamoyo haujaelezwa umeuzwa kwa Saudi Arabia kwa muda wa miaka mingapi na kwa gharama za kiasi gani. Serikali ya Tanzania kupitia TPA 2024/25 ilitenga Sh22 bilioni kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi Bandari ya Bagamoyo.

Zaidi ya US$10 bilioni (takribani Sh23 trilioni) zilitarajiwa kutumika katika ujenzi huo utakaohusisha ujenzi wa bandari yenyeweUjenzi utahusisha kituo cha usafirishaji wa mizigo kwenye eneo la hekta 887, eneo maalumu la viwanda lenye ukubwa wa hekta 2,200.Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari (TPA) imekamilisha kulipa fidia kwa wananchi wanaopisha mradi ukubwa wa hekta 887.

Wazo la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo lilianza na mpango uliobuniwa na serikali ya Tanzania 2004 ulioitwa Tanzania-Mini Tiger 2020Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulilenga nchi yenye uchumi wa ’tiger’ kupitia viwanda kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje. Uulisukumwa na mafanikio yaliyopatikan katika nchi zinazoitwa ‘Four Asian Tigers’ - Korea Kusini, Hong Kong, Taiwan na Singapore Mradi wa bandari ya Bagamoyo ulianza kutekelezwa 2005, ambapo ulilenga kuendeleza kilimo, elimu, barabara, maji na uwekezaji.

Kipindi cha majaribio kati ya mwaka 2005 mpaka 2020 ulipaswa kuhusisha ujenzi wa kanda maalumu za kiuchumi (SEZ).Ukanda maalumu wa Kiuchumi wa Bagamoyo, ukawekewa misingi na Bandari ya Bagamoyo ilipoonekana ni jambo linalohitajika.Ujenzi ulizinduliwa 2015 na J.K Kikwete, ukasitishwa 2019 na J.P Magufuli kwa madai ya kuwepo masharti magumu ya mwekezaji.

Masharti; baada ya bandari kukamilika, Tanzania haitaruhusiwa kujenga na kuendeleza bandari yoyote pwani ya Bahari ya HindiMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru/ kodi eneo la bandari na kutaka wapewe hakikisho la miaka 33.Huku wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi hiyo kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo.Swali.

Je, masharti hayo ya uwekezaji ambayo yalionekana ni magumu na ajabu kutekelezwa na John Magufuli, ndiyo yametumika sasa?Je, bunge limepata nafasi ya kujadili masharti ya uwekezaji na uendelezaji wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo?

Bunge la ngapi na kikao gani?Serikali iliamua ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulioanza 2023/24 usimamiwe na kutekelezwa na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari (TPA)Nini kimewafanya TPA na Serikali 2024/25 mwezi pili tu kuwapa Saudi Arabia Bandari ya Bagamoyo ambayo tumewekeza fedha tayari?Sijaona mkataba, lakini kama ni kweli hayo masharti yapo, ni muhimu yakawekwa kwenye mjadala, watanzania wote wajadili masharti.

Binafsi nafahamu, mwekezaji kutoa matrilioni ya shilingi, bila kunufaika kwa namna yoyote, sidhani kama ni rahisi. Haiwezekani kabisa.MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Cha kushangaza ni hivi Saudi Arabia wanajenga mji mkubwa sana jangwani, na juzi juzi tu walikuwa wameishiwa wanasema ule mradi umechukua pesa nyingi sana, zaidi kama USD 500 billioni, na sasa wameenda kuamba wachina wawasaidie wajenge Pamoja. Sasa connect hapo, inawezekana hata Saudi ni dalali wa China, wakati ule Oman alikuwa ndiyo dalali. Wanataka nini hapo?
 
Cha kushangaza ni hivi Saudi Arabia wanajenga mji mkubwa sana jangwani, na juzi juzi tu walikuwa wameishiwa wanasema ule mradi umechukua pesa nyingi sana, zaidi kama USD 500 billioni, na sasa wameenda kuamba wachina wawasaidie wajenge Pamoja. Sasa connect hapo, inawezekana hata Saudi ni dalali wa China, wakati ule Oman alikuwa ndiyo dalali. Wanataka nini hapo?
akija rais akaweka wazi ushenzi unaofanyika sasa, kuna mbingu itapasuka vipande viwili!
 
Wamesaini mikataba mingapi ?
Na Zenji pia kuna uwekezaji mikubwa tu
Hamtaki ajira?
Hakuna mali inayotolewa bure hapo ni makubaliano tu
 
Deal imefanyika wapi?

Umememsikia na kumuelewa balozi?
Acheni uzushi na umbeya jengeni chama.
Sisi ndo wenye Mali. Ni lazima tusikie kanusho la Serikali.

Kama Kuna kigugumizi basi ndo wasiwasi wenyewe!!

Waziri wa Sekta husika ajitokeze kukanusha
 
Siamini kuwa wewe ni mzanzibari unayefaidika na mali za Tanganyika kupitia mikataba ya kishenzi na waarabu.

KUpitia mikataba ya kishenzi:

1) Tumepoteza bandari yetu
2) Kupitia mikataba ya kishenzi tumepoteza mbuga zetu za wanyama

3) Kupitia mikataba ya kishenzi tumepoteza hifadhi zetu za misitu

4) Kupitia mikataba ya kishenzi watu wetu wananyanyaswa na kufukuzwa kwenye maeneo yao ya asili.

5) Kupitia mikataba ya kishenzi tumegawa uwanja wetu wa ndege wa KIA.

NA HIVI VYOTE WAMEPEWA WAARABU VIKIWA TAYARI VIPO AU VIKIWA VIMEJENGWA. Hakuna hata kimoja walichokijenga au kutengeneza hao waarabu. Hawa ni wawekezaji au waporaji??

Kama ni Mtanganyika, nakusihi rudi kwenye hekima na uzalendo wa Taifa lako. Kama ni Mzanzibari, endelea kufaidi lakini ujue kuna siku wenye mali watainuka na kurudisha mlivyovipora kupitia uwekezaji fake. Hivi kama una akili timamu, mtu anawekeza nini kwenye mbuga ya wanyama au hifadhi za misitu!!
Umeongea Kwa uchungu sana!! Lakini pia hii haraka yote hii ya nini?

Kama kuuzauza ndo ujanja tutauza nini miaka 10 ijqyo?
 
Hili gazeti lao linasema uwongo?
Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project

ByAkram Bin Khalid

12 February، 2025

News Projects

Home » News » Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.
 
Back
Top Bottom