njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Naam ama kwa hakika watu wanalamba asali aisee, wanakula kwa urefu wa kamba zao...ukiwaskia wahusika sasa kwenye majukwaa.
"VIJANA CHEZENI MICHEZO ILI KUJENGA AFYA BORA...BADALA YA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UHALIFU TUMIENI MUDA HUO KUCHEZA MICHEZO, WAZAZI WARUHUSUNI WATOTO WENU WACHEZE MICHEZO WAJE KUWA KINA SAMATTA WA BAADAYE,MICHEZO NI AJIRA...CCM OYEEE,SAMIA OYEEE"
Yes hizo ni kauli za unafikinafiki sababu nchi inaenda kinafiki imekuwa jamhuri ya machawa, mavyawa mengine mababu kabisa maprofesa na yana vitambi ila machawa balaa, kudadadeeeki
Cheki hili bepari lilivyosepa na likiwanja likubwa namna hii, aisee hatari sana, shwaaaaaaaaa, awamu ya sita hiyo#UNANIJUA MIMI NANI WEWE?UNAIJUA V-8 WEWE?
Poleni sana wana yombo argentina, wanaupiga mwingi sana awamu ya sita
"VIJANA CHEZENI MICHEZO ILI KUJENGA AFYA BORA...BADALA YA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UHALIFU TUMIENI MUDA HUO KUCHEZA MICHEZO, WAZAZI WARUHUSUNI WATOTO WENU WACHEZE MICHEZO WAJE KUWA KINA SAMATTA WA BAADAYE,MICHEZO NI AJIRA...CCM OYEEE,SAMIA OYEEE"
Yes hizo ni kauli za unafikinafiki sababu nchi inaenda kinafiki imekuwa jamhuri ya machawa, mavyawa mengine mababu kabisa maprofesa na yana vitambi ila machawa balaa, kudadadeeeki
Cheki hili bepari lilivyosepa na likiwanja likubwa namna hii, aisee hatari sana, shwaaaaaaaaa, awamu ya sita hiyo#UNANIJUA MIMI NANI WEWE?UNAIJUA V-8 WEWE?
Poleni sana wana yombo argentina, wanaupiga mwingi sana awamu ya sita