Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.
Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na video iliyopo kwenye chaneli ya Ikulu Tanzania ina urefu wa dakika 33:02 pekee.
Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?
Soma, Pia:
+ Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na video iliyopo kwenye chaneli ya Ikulu Tanzania ina urefu wa dakika 33:02 pekee.
Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?
+ Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere