Video ya LIVE ya Rais Samia kwenye kilele cha mbio za Mwenge yaondolewa YouTube. Je, sababu ni kukohoa kwenye hotuba?

Video ya LIVE ya Rais Samia kwenye kilele cha mbio za Mwenge yaondolewa YouTube. Je, sababu ni kukohoa kwenye hotuba?

11 Oktoba 2024
Yaounde, Cameroon

Cameroon Yapiga Marufuku Vyombo vya Habari Kujadili kuhusu Afya ya Rais Paul Biya aliyetoweka | Firstpost

View: https://m.youtube.com/watch?v=IeV0MvR4g4w

Huku uvumi ukiendelea kukua kuhusu Rais wa Cameroon mheshimiwa Paul Biya ambaye hayupo mara kwa mara hadharani hata katika habari za kurasa za mbele za magazeti ya chama na serikali , serikali imewaamuru magavana wa majimbo kupiga marufuku vyombo vya habari kujadili hali ya afya ya Biya kwa kuwa ni suala la usalama wa taifa.

Mkuu huyo wa nchi ambaye ana umri wa miaka 94 hajaonekana hadharani tangu mapema Septemba na ripoti zimedai kuwa anapumzika nchini Uswizi.

Lakini kupigwa marufuku kwa mijadala ya vyombo vya habari kunazua maswali mengi kuliko majibu. Je, kweli serikali ya Cameroon inaficha maelezo kuhusu hali ya Biya? Hivi Rais hayuko sawa kweli? Tazama sasa video hapo juu kujua zaidi. --- Kamerun | Rais

Kumbe ni afrika kote
 
11 Oktoba 2024
Yaounde, Cameroon

Cameroon Yapiga Marufuku Vyombo vya Habari Kujadili kuhusu Afya ya Rais Paul Biya aliyetoweka | Firstpost

View: https://m.youtube.com/watch?v=IeV0MvR4g4w

Huku uvumi ukiendelea kukua kuhusu Rais wa Cameroon mheshimiwa Paul Biya ambaye hayupo mara kwa mara hadharani hata katika habari za kurasa za mbele za magazeti ya chama na serikali , serikali imewaamuru magavana wa majimbo kupiga marufuku vyombo vya habari kujadili hali ya afya ya Biya kwa kuwa ni suala la usalama wa taifa.

Mkuu huyo wa nchi ambaye ana umri wa miaka 94 hajaonekana hadharani tangu mapema Septemba na ripoti zimedai kuwa anapumzika nchini Uswizi.

Lakini kupigwa marufuku kwa mijadala ya vyombo vya habari kunazua maswali mengi kuliko majibu. Je, kweli serikali ya Cameroon inaficha maelezo kuhusu hali ya Biya? Hivi Rais hayuko sawa kweli? Tazama sasa video hapo juu kujua zaidi. --- Kamerun | Rais

Kumbe ni afrika kot
Kwa nini wameiondoa wanaficha nini?
Sijui
 
Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.

Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na video iliyopo kwenye chaneli ya Ikulu Tanzania ina urefu wa dakika 33:02 pekee.

Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?

Soma, Pia:
+ Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere

Mm pia nishangaa kuto iona hiyo hutuba
 
Singapore has become the first country in the world to perform an autopsy (post-mortem) of a COVID-19 body. After a thorough investigation, it was discovered that Covid-19 does not exist as a virus, but rather as a bacteria that has been exposed to radiation and causes human death by clotting in the blood.
It was found that Covid-19 disease causes blood clots, which leads to blood clotting in humans, and causes blood to clot in the veins, making it difficult for a person to breathe; Because the brain, heart and lungs cannot receive oxygen, causing people to die quickly.

To find the cause of the shortage of respiratory power, doctors in Singapore did not listen to WHO protocol and performed an autopsy on COVID-19. After doctors opened and carefully examined the arms, legs and other parts of the body, they noticed that the blood vessels were dilated and filled with blood clots, which impeded blood flow and also reduced the flow of oxygen in the body causes the death of the patient. After learning about this research, Singapore's Ministry of Health immediately changed the Covid-19 treatment protocol and gave aspirin to its positive patients. I started taking 100mg and Imromac. As a result, patients began to recover and their health began to improve. Singapore's Ministry of Health evacuated more than 14,000 patients in one day and sent them home.
After a period of scientific discovery, doctors in Singapore explained the method of treatment by saying that the disease was a global hoax, “It is nothing but intravascular coagulation (blood clots) and a method of treatment.
antibiotic tablets
Anti-inflammatory and
Take anticoagulants (aspirin).
This indicates that the disease can be cured.
According to other Singapore scientists, ventilators and an intensive care unit (ICU) were never needed. Protocols for this purpose have already been published in Singapore.
US already knows this, but has never released its report.
Share this information with your family, neighbors, acquaintances, friends and colleagues so that they can shake off the fear of Covid-19 and realize that this is not a virus, but a bacteria that has only been exposed to radiation. Only people with very low immunity should be careful. This radiation also causes inflammation and hypoxia. Victims should take Asprin-100mg and Apronik or Paracetamol 650mg.

Source: Singapore Ministry of Health
Moved (must read)
Forwarded as received.
What is the point here if the disease is still a disease and cause rapid deaths??
 
Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.

Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na video iliyopo kwenye chaneli ya Ikulu Tanzania ina urefu wa dakika 33:02 pekee.

Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?
Soma, Pia:
+ Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Kuna taarifa BBC waliwahi rushwa ikionesha Warundi wakisherehekea Mpango kuwa VP ila huwezi ikuta walishaitoa na nilisahau kuisevu.

Pia Kuna nyingine VP Mpango akisema sababu za mradi wa bwawa la Nyerere kuchelewa ni ujenzi wa chini ya kiwango ambapo ililazimu.kurudia Baadhi ya maeneo nayo huwezi ikuta You tube walishaitoa na nilisahau kuisevu 😂😂😂😂
 
MBONA TABORA WANAMFUNGA YA MAGOLI YA OFFSIDE JAMANI REFA HAONI?
 
Singapore has become the first country in the world to perform an autopsy (post-mortem) of a COVID-19 body. After a thorough investigation, it was discovered that Covid-19 does not exist as a virus, but rather as a bacteria that has been exposed to radiation and causes human death by clotting in the blood.
It was found that Covid-19 disease causes blood clots, which leads to blood clotting in humans, and causes blood to clot in the veins, making it difficult for a person to breathe; Because the brain, heart and lungs cannot receive oxygen, causing people to die quickly.

To find the cause of the shortage of respiratory power, doctors in Singapore did not listen to WHO protocol and performed an autopsy on COVID-19. After doctors opened and carefully examined the arms, legs and other parts of the body, they noticed that the blood vessels were dilated and filled with blood clots, which impeded blood flow and also reduced the flow of oxygen in the body causes the death of the patient. After learning about this research, Singapore's Ministry of Health immediately changed the Covid-19 treatment protocol and gave aspirin to its positive patients. I started taking 100mg and Imromac. As a result, patients began to recover and their health began to improve. Singapore's Ministry of Health evacuated more than 14,000 patients in one day and sent them home.
After a period of scientific discovery, doctors in Singapore explained the method of treatment by saying that the disease was a global hoax, “It is nothing but intravascular coagulation (blood clots) and a method of treatment.
antibiotic tablets
Anti-inflammatory and
Take anticoagulants (aspirin).
This indicates that the disease can be cured.
According to other Singapore scientists, ventilators and an intensive care unit (ICU) were never needed. Protocols for this purpose have already been published in Singapore.
US already knows this, but has never released its report.
Share this information with your family, neighbors, acquaintances, friends and colleagues so that they can shake off the fear of Covid-19 and realize that this is not a virus, but a bacteria that has only been exposed to radiation. Only people with very low immunity should be careful. This radiation also causes inflammation and hypoxia. Victims should take Asprin-100mg and Apronik or Paracetamol 650mg.

Source: Singapore Ministry of Health
Moved (must read)
Forwarded as received.

WHO wanasemaje kuhusu hii mutation ya COVID virus?
 
Wakuu nini kinaendelea huko daslamu.. ?!
Wengine tupo namanyere tupeni habari za ndaaaani kabisa
 
Kuna taarifa BBC waliwahi rushwa ikionesha Warundi wakisherehekea Mpango kuwa VP ila huwezi ikuta walishaitoa na nilisahau kuisevu.

Pia Kuna nyingine VP Mpango akisema sababu za mradi wa bwawa la Nyerere kuchelewa ni ujenzi wa chini ya kiwango ambapo ililazimu.kurudia Baadhi ya maeneo nayo huwezi ikuta You tube walishaitoa na nilisahau kuisevu 😂😂😂😂
moshiruangwa
 
Back
Top Bottom