Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.
Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na video iliyopo kwenye chaneli ya Ikulu Tanzania ina urefu wa dakika 33:02 pekee.
Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?
Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.
Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na iliyopo Ikulu Tanzania ina dakika 33:02 pekee.
Leo nilitaka kurudia kutazama tukio la jana la kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere, Oktoba 14 pale Mwanza, nimejiuliza maswali mengi kuhusu hili, kwanini video hiyo imeondolewa YouTube au kwasababu Rais Samia wakati akihutubia alikohoa mara kadhaa kati kati ya hotuba?.
Awali, tukio lote lilirushwa live online na vyombo mbalimbali, ikiwemo Ikulu Tanzania, TBC na hata kwenye chaneli ya CCM lakini sasa limeondolewa kwenye majukwaa mengi na iliyopo Ikulu Tanzania ina dakika 33:02 pekee.
Kama shida ni Kikohozi, mbona ni jambo la kawaida tu kwa mtu kushikwa na Kikohozi au kuna kitu zaidi kilichofanya video hiyo iondolewe na kusababisha wananchi tukose taarifa?
Mbona kawaida Sana tu kukohoa mbona hata mbabe wa meddle east Benjamin Netanyahu nakumbuka kipindi anahutubia Baraza la umoja wa mataifa UN na yeye alikohoa flani hivi.
Walio iondoa kama walizingatia sababu ya kikohozi basi ni washamba sana. Ughaibuni kiongozi akikohoa anasema tu eksichuzi me na mambo mengine yanaendelea