Video ya mfanyabiashara alienusurika kutekwa kwa mtazamo wa kiuchambuzi Inafikirisha sana

Ndiyo nyie mlikuwa mnakuja na maandiko marefu sana kuonyesha SGR na bwawa la umeme haiwezekani vikajengwa Tanzania. Mnaujuaji wa kijinga kwa kila jambo
 
Hiv
Hivi CCTV camera huwa inatoa sauti?
 
Kipindi MO anatekwa hakuwa kwenye siasa.
Huenda tukio limetengenezwa kama yalivyo maoni yako,je umesikia hao walioonekana ktk igizo hilo wakihojiwa namna walivyopata pingu?
 
Naona mnatumwa kuja kufanya damage control .

Haitowezekana endeleeni kuona watu wajinga , mpaka siku wananchi watakapoua watekaji ndio mtajua chuki mliyoijenga na madhara yake.

Halafu unavyosema unataka interview na aliyerekodi ili iweje?

Maana naona mnataka mumsogeze karibu mumdhuru wakati huyo ni whistleblower muhimu sana bila yeye tusingejua uhuni huo na kama yumo humu namshauri asijitokeze kwa namna yoyote ile wala kujitaja yeye ndio alirekodi.
 
Na juu ya yote, eti watekaji wameshindwa kumteka kwa sababu ya uzito wake ...dah. Yaani hawakujua aina ya mtu wanaeenda kumteka?
 
  • ...imetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
  • ...mabishano kati ya mlengwa na waharifu
  • ...wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu
  • ...kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
  • ...waliokuwa wakijaribu kutekereza
  • ...ni profession wa Vidoo analyisis
  • ...exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
Duh!
 

Ndo maana sijasoma nilijua tu kaandika upupu.
 

Sativa ni mwanasiasa?

Kiini macho kwa faida ya nani? Yani polisi wajichafue wenyewe ili wapate faidi gani? Tumia akili yako kidogo hata kama huna.
 
Sativa ni mwanasiasa?

Kiini macho kwa faida ya nani? Yani polisi wajichafue wenyewe ili wapate faidi gani? Tumia akili yako kidogo hata kama huna.
. Wewe mwenye akili kikubwa, nipe introduction ya sativa ilipoazia..

. Hao polisi ni akina nani, niletee majina yao hapa..


Yani polisi aje kukuteka tu bila kuwa na chain ya jambo fulani?? ( ndo maana natamani nijue chanzo ni nini mpaka wafike hiyo hatua ya kutekana). Bwanamdogo Acha kujibu hoja kwa mihemko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…