Video ya mfanyabiashara alienusurika kutekwa kwa mtazamo wa kiuchambuzi Inafikirisha sana

Video ya mfanyabiashara alienusurika kutekwa kwa mtazamo wa kiuchambuzi Inafikirisha sana

. Wewe mwenye akili kikubwa, nipe introduction ya sativa ilipoazia..

. Hao polisi ni akina nani, niletee majina yao hapa..

Wamesema wenyewe kwenye video wao ni polisi. Hiyo inatosha kujua wao ni akina nani sihitaji conspiracy theory wakati kila kitu kinajieleza. Mhalifu gani anakuja kukuteka na pingu?
 
Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.

Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.

Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,

Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.

Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,

Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.

N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.

NAWASILISHA

Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Matukio yote yanahusisha wachaga na wanyakusa na yanatojea maeneo ya ngome ya CHADEMA
 
Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.

Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.

Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,

Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.

Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,

Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.

N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.

NAWASILISHA

Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
= wahalifu.
= kutekeleza


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wamesema wenyewe kwenye video wao ni polisi. Hiyo inatosha kujua wao ni akina nani sihitaji conspiracy theory wakati kila kitu kinajieleza. Mhalifu gani anakuja kukuteka na pingu?
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???

. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????

. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.


Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...
 
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???

. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????

. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.


Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...

Hata wangesema wao ni miungu ningeamini. Kwanini uhangaike wakati kila kitu kipo in plain sight.

Mtu binafsi umiliki pingu kwa faida gani? Wapi huko mnakokaa ambako watu wanamiliki pingu for fun?

Hata angekua anauza chips, kwanini polisi wamteke au wakubali kutumika kumteka raia wa kawaida?

Dr. Ulimboka, Sativa na wengine wametekwa na polisi hao hao unaotumia nguvu kuwatetea wakati wenyewe wamejitambulisha kuwa ni polisi.
 
Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.

Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.

Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,

Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.

Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,

Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.

N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.

NAWASILISHA

Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Umechambua lakini hoja zako za kiuchambuzi ni nyepesi sana na zinaonesha na zinaonesha uchanga wana kifikra

Alitekwa MO na watekaji hawakupatikana hadi leo,je? Mo ni mwana harakati? Kuna wale wafanya biashara wa madini morogoro ambao polisi walishiri na kesi ikahukumiwa je? Yule likuwa ni mwana harakati?

Ukitizama tukio lile kuna watu wamesimama nyuma kule na wamesimama kwa utulivu kabisa jee? Unadhani wasinge weza kurekodi kwa utulivu?

Hivyo rudi kafanye tena uchambuzi wako hoja zako laini sana
 
Hiv

Hivi CCTV camera huwa inatoa sauti?
Can CCTV Cameras Pick Up and Record Sound? In short, yes, they can. CCTV cameras can record audio, although this works differently depending on whether you have IP CCTV cameras or more traditional analogue cameras. Analogue cameras need to have audio input directly through the DVR (digital video recorder).
 
Hata wangesema wao ni miungu ningeamini. Kwanini uhangaike wakati kila kitu kipo in plain sight.

Mtu binafsi umiliki pingu kwa faida gani? Wapi huko mnakokaa ambako watu wanamiliki pingu for fun?

Hata angekua anauza chips, kwanini polisi wamteke au wakubali kutumika kumteka raia wa kawaida?

Dr. Ulimboka, Sativa na wengine wametekwa na polisi hao hao unaotumia nguvu kuwatetea wakati wenyewe wamejitambulisha kuwa ni polisi.
. Hao akina DR. Ulimboka na Sativa, ipo wazi kuwa source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️ ✍️

. Hata ukija yule jamaa aliyeuawa na polisi ( kijana wa madini mtwara pia inajulikana source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️)


Hata angekua anauza chips, kwanini polisi wamteke au wakubali kutumika kumteka raia wa kawaida?
Wenye busara kama mimi na mtoa maada tumefikiria hili toka mwanzo, "kuwa kwa nini atekwe shida ni nini hasa!!!

. Je anasiri za Kambi ya serikali??

. Je ni mwanaharakati wa Chama fulani ??

. Je kuna mali za magendo wamezungukana??
 
. Hao akina DR. Ulimboka na Sativa, ipo wazi kuwa source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️ ✍️


. Hata ukija yule jamaa aliyeuawa na polisi ( kijana wa madini mtwara pia inajulikana source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️)




Wenye busara kama mimi na mtoa maada tumefikiria hili toka mwanzo, "kuwa kwa nini atekwe shida ni nini hasa!!!

. Je anasiri za Kambi ya serikali??

. Je ni mwanaharakati wa Chama fulani ??

. Je kuna mali za magendo wamezungukana??

Unajiita una busara ila mimi nakuona mweupe kama ream paper.

Tatizo sio kosa/shida iliyopelekea kutekwa. Tatizo ni njia iliyotumika kumkamata. Kwa "busara" zako wanasiasa pinzani na wanaharakati ni sahihi kutekwa? Kwanini njia sahihi zisitumike kukamata kama mtu anakosa fulani?
 
Unajiita una busara ila mimi nakuona mweupe kama ream paper.

Tatizo sio kosa/shida iliyopelekea kutekwa. Tatizo ni njia iliyotumika kumkamata. Kwa "busara" zako wanasiasa pinzani na wanaharakati ni sahihi kutekwa? Kwanini njia sahihi zisitumike kukamata kama mtu anakosa fulani?
Sahihi kabisa.
 
1. Pingu
2. Sisi ni polisi
3. Tutakuuua
4. Tutakufata tena

Fanyeni ujinga tu, mtakuja kusababisha MAUJI KWA WATU WASIO NA HATIA. HAO MNAOWATUMA WANAFAMILIA PIA KUMBUKENI. FAMILIA ZAO ZIPO HUKU HUKU MTAANI.

SAWA, TUSUBIRI.
 
1. Pingu
2. Sisi ni polisi
3. Tutakuuua
4. Tutakufata tena

Fanyeni ujinga tu, mtakuja kusababisha MAUJI KWA WATU WASIO NA HATIA. HAO MNAOWATUMA WANAFAMILIA PIA KUMBUKENI. FAMILIA ZAO ZIPO HUKU HUKU MTAANI.

SAWA, TUSUBIRI.
Hakika.
 
Unajiita una busara ila mimi nakuona mweupe kama ream paper.

Tatizo sio kosa/shida iliyopelekea kutekwa. Tatizo ni njia iliyotumika kumkamata. Kwa "busara" zako wanasiasa pinzani na wanaharakati ni sahihi kutekwa? Kwanini njia sahihi zisitumike kukamata kama mtu anakosa fulani?
. Ngoja nikuache..... Maana naona nabishana na picha ya ukutani 🖼️🖼️.

. Mimi sihitaji namna wanavyokamata, mimi nataka nijue chanzo ni nini hasa mpaka wafike hiyo hatua ya kushikana mashart.. ✍️.

. Tukisha jua source ni nini, Ndo tutahoji kwa nini alikamatwa kwa style ile!!!.

Sasa tatizo lako wewe unakuja kwa kukurupuka, then unafananisha Dr. Ulimboka, sativa na huyu jamaa..
 
. Mimi sihitaji namna wanavyokamata, ✍️.

Na huo ndo ujinga wa kiwango cha PhD. Hata angekua amefanya mauaji hakuna sheria inayoruhudu polisi au mtu yeyote yule kumteka mwingine kwa kosa lolote lile. Umeonyesha jinsi ulivyo mweupe kichwani. Nakuacha na hii from mwanasheria:


1.PNG
 
Tuachie polisi kwanza tuone taarifa yao itakuaje, maana inasemekana kwa wanaowajua hao "watekaji" wawili wametambuliwa kama ni polisi...
incredible terminator ana hoja ya msingi ila 1. Ameweka doubts ambazo hazina mantiki 2. Uandishi wake ni majanga kwenye L na R
Mimi nilichoelewa ni kuwa mwanzisha thread anasema tuwe macho isijekuwa hili ni igizo limefanywa na na vyombo vya usalama ili kuwaaminisha watu kuwa utekaji unaofanywa vyombo vya dola havihusiki. Yaani ni kuwa script imeshaandalia kuwa baadae polisi watasema wameshafanya uchunguzi na kuwakamata wahusika na imegundulika kuwa siyo polisi na watawekwa mbele ya waandishi wa habari na kukiri kuwa wao wanajihusisha na kuteka watu. Hapo polisi itasema siyo kila utekaji na wa vyombo vya dola. Anyways, hata mimi siamini iko hivyo ila ni vizuri kuangalia hili tukio kwa angle zote.
 
Kila tukio la utekaji linapotokea lazima waje chawa kama mtoa mada na vimaswali vya kijinga. Mzee Ally Kibao alivyotekwa mliongea hivi hivi, ila alipouawa mkabadilisha maneno. Ni unafiki kujadili matokeo baadala ya sababu.
 
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???

. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????

. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.


Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...

Ni mfanya biashara
 
Duh!mkuu umejithd kuifafanua kulingan na uelew wko,mim sikupingi mkuu Kun fact meipat angalau
 
Back
Top Bottom