Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Utakuwa sahihi kama hao watekaji watakamatwa na kufikishwa mahakamani, ili wakaeleze walimteka kwa sababu bonafsi.Hakuna kinachoshindikana, kuna watu wanaandaliwa na wanakili walibaka na wewe na wote mnafungwa ukiwa hata huwajui na hata sura zao ndo mmeonana nazo mahakaman kwenye kesi. Mkuu hakuna linashindikana chini ya jua