Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Mimi sikuwahi kumjua ali kibao wala sativa hadi walipotekwa, hivyo sio rahisi kufahamu kila mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Hao akina DR. Ulimboka na Sativa, ipo wazi kuwa source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️ ✍️
. Hata ukija yule jamaa aliyeuawa na polisi ( kijana wa madini mtwara pia inajulikana source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️)
Wenye busara kama mimi na mtoa maada tumefikiria hili toka mwanzo, "kuwa kwa nini atekwe shida ni nini hasa!!!
. Je anasiri za Kambi ya serikali??
. Je ni mwanaharakati wa Chama fulani ??
. Je kuna mali za magendo wamezungukana??
. Ngoja nikuache..... Maana naona nabishana na picha ya ukutani 🖼️🖼️.
. Mimi sihitaji namna wanavyokamata, mimi nataka nijue chanzo ni nini hasa mpaka wafike hiyo hatua ya kushikana mashart.. ✍️.
. Tukisha jua source ni nini, Ndo tutahoji kwa nini alikamatwa kwa style ile!!!.
Sasa tatizo lako wewe unakuja kwa kukurupuka, then unafananisha Dr. Ulimboka, sativa na huyu jamaa..
Endelea kujifurahisha ukiingia kwenye kumi nane ndo utajua.Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Umetanguliza hasira kwenye tumbo, Ndo maana unashidwa kuelewa ninachozungumza?? 🚮🚮🚮🚮Na huo ndo ujinga wa kiwango cha PhD. Hata angekua amefanya mauaji hakuna sheria inayoruhudu polisi au mtu yeyote yule kumteka mwingine kwa kosa lolote lile. Umeonyesha jinsi ulivyo mweupe kichwani. Nakuacha na hii from mwanasheria:
View attachment 3151458
Leta sasa hicho chanzo ili tujadili kwa pamoja.. Unaonaje?? ✍️ ✍️Katafute chanzo nani kakuzuia?. Unajifanya mjuaji na hujui chanzo Cha Tarimo kutekwa. No research no right to speak.
Sawa sawa... 🙂 🙂Wewe endelea na vimaswali vyako uchwara. Siku ukitekwa wewe ndio utapata majibu.
Ndio sababu hawakusema wao ni misukule bali walisema wao ni polisi. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???
. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????
. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.
Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...
Na huu ndio ukweli, hauwezi kuwa mtu mwenye akili timamu kisha ushindwe tofautisha R na L..mleta mada anashindwa kutofautisha matumizi ya hizo herufi 2 atawezaje kuwa na upeo wa kuchambua mambo yanayohitaji ufahamu wa juu?Unaitumia r vibaya sana
Yaani msichojua ni kuwa hata kama mtu ana point kiasi gani ukishachanganya r na l unaonekana hujui kitu
Sijasema mtoa mada ana points lakini!
Hawa mataahira kwanza uelewe these days kigezo cha kupata ajira kitengo ni kuwa UVCCM, hiyo ndiyo qualification muhimu zaidi.Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hiyo pia haiingii Akilini 😂Na juu ya yote, eti watekaji wameshindwa kumteka kwa sababu ya uzito wake ...dah. Yaani hawakujua aina ya mtu wanaeenda kumteka?
What was the source of all evil!!? Chanzo cha yote ni nini!!??. Ngoja nikuache..... Maana naona nabishana na picha ya ukutani [emoji2777][emoji2777].
. Mimi sihitaji namna wanavyokamata, mimi nataka nijue chanzo ni nini hasa mpaka wafike hiyo hatua ya kushikana mashart.. [emoji3578].
. Tukisha jua source ni nini, Ndo tutahoji kwa nini alikamatwa kwa style ile!!!.
Sasa tatizo lako wewe unakuja kwa kukurupuka, then unafananisha Dr. Ulimboka, sativa na huyu jamaa..
Kosa jingine, angalia alivyochomoka. Kirahisi rahisi anawakimbia bila hata ya kufuatwa!!!Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Matacko yako wewe, siku akitekwa mtu wako wa karibu na kuishia kuchinjwa na akina mafwele na genge lake ndio akili itakurudia. Kitimoto weweKwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia