. Wewe mwenye akili kikubwa, nipe introduction ya sativa ilipoazia..
. Hao polisi ni akina nani, niletee majina yao hapa..
Matukio yote yanahusisha wachaga na wanyakusa na yanatojea maeneo ya ngome ya CHADEMAKwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
= wahalifu.Kwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???Wamesema wenyewe kwenye video wao ni polisi. Hiyo inatosha kujua wao ni akina nani sihitaji conspiracy theory wakati kila kitu kinajieleza. Mhalifu gani anakuja kukuteka na pingu?
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???
. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????
. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.
Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...
Umechambua lakini hoja zako za kiuchambuzi ni nyepesi sana na zinaonesha na zinaonesha uchanga wana kifikraKwanza kabisa Video hii tukiiangalia kwa jicho la uchambuzi na kiudadisi kuna vitu vinatia wasiwasi, pengine tukio hilo limetengenezwa kimkakati kwa ajili ya masrahi ya watu flani.
Aina mtu aliekuwa anataka kutwekwa, sio mwanaharakati wala mlengwa wa kisiasa, hii inamaanisha tukio hilo lilivyokuwa linatakiwa kufanyika lina tofauti kubwa na matukio mengine yanayotokea kwani aina ya watu tuliozoea kuskia wametekwa na kutoonekana au saa zingine kupatikana kwa miili yao wengi wao ni walengwa wa kisiasa, hivyo kwa kutokea kwa tukio hili linatia wasiwasi kuwa huenda kuna mbuzi wa kafara ameandaliwa ili kusawazisha dhana ya utekwaji kuwa huwa wanaofanya hizo mambo ya utekaji ni waharifu wa kawaida na si aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia malalamiko.
Hii inamaana kwamba kama jaribio hili lingefanyika kwa mlengwa wa kisiasa kisha waharifu hao waonekane lazima jamii ingetamani kujua wanatekeleza hilo kwa maagizo ya nani? Ila kwa kuwa huyu sio mlengwa wa kisiasa basi hata waharifu wakikamatwa pengine wanaweza kutoa sababu ya kwanini walitaka kutekereza hivyo kwa sababu watakazotaja wao,
Hii inaweza kuleta picha kuwa pengine matukio ya utekwaji mengi ni masuala ya personal issues. Kwa sababu pengine watakaobainika kufanya hayo matukio sio aina flani ya watu ambao jamii imekuwa ikiwatupia lawama.
Kosa la pili, Aina ya video, Video iliyorekodiwa inasikika hadi sauti za mabishano kati ya mlengwa na waharifu (watekaji) na imeenda mbali vinasikika hadi vishindo vya kurupushani zilizokuwa zikiendelea katika tukio, Lakini pia video imeonekana imechukuliwa katika hali ya utulivu uliopitiliza kiasi kwamba alieichukua video alikuwa katika hali ya utulivu zaidi na hakuwa na wasiwasi hii inaonesha kuwa aliechukua video hakuwa mbali na tukio bali ni mtu ambae alikuwa jirani sana na tukio na alifanya kazi yake pasipo kuwa na Bughdha ya aina yoyote iliyokuwa ikitokana na tukio ikiwemo uoga na changamoto za aina ya tukio lenyewe lazima Camera ingeonesha picha ikiyumbayumba kutokana na Cameraman ku move position kutokana na asili ya tukio, Pia inaonesha lazima angeonekana na waliokuwa wakijaribu kutekereza tukio lakini pia Eneo halikuwa na uficho wa aina yoyote ambao mtu alierekod video angejificha ili asionekane,
Kosa la tatu, Unprofessional kidnaping, yaani kusema watu wenye Taaluma ya utekaji ambao wametekeleza matukio ya utekaji zaidi ya vipindi vya miaka 10 na zaidi waende kumchukua mtu katikati ya watu bila tahadhari yoyote ya kurekodiwa hasa katika kipindi hiki ambacho Watanzania wote wanayajua haya matukio na Jamii ndio iko katika kipindi cha Attension hata kuliko vipindi vyovyote vile.....Kuna baadhi ya matukio ambayo yanahitaji jopo la wachunguzi ambao ni profession wa Vidoo analyisis and logical Editing, kuliko kuchukulia vitu kiuepesi.
N.B huu ni mtazamo wangu tu. lakini ningetaman tungepata Interview ya cameraman atusaidie kutupa exclussive how he/she managed to capture this in clearly video and voice.
NAWASILISHA
Pia soma:Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Can CCTV Cameras Pick Up and Record Sound? In short, yes, they can. CCTV cameras can record audio, although this works differently depending on whether you have IP CCTV cameras or more traditional analogue cameras. Analogue cameras need to have audio input directly through the DVR (digital video recorder).Hiv
Hivi CCTV camera huwa inatoa sauti?
. Hao akina DR. Ulimboka na Sativa, ipo wazi kuwa source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️ ✍️Hata wangesema wao ni miungu ningeamini. Kwanini uhangaike wakati kila kitu kipo in plain sight.
Mtu binafsi umiliki pingu kwa faida gani? Wapi huko mnakokaa ambako watu wanamiliki pingu for fun?
Hata angekua anauza chips, kwanini polisi wamteke au wakubali kutumika kumteka raia wa kawaida?
Dr. Ulimboka, Sativa na wengine wametekwa na polisi hao hao unaotumia nguvu kuwatetea wakati wenyewe wamejitambulisha kuwa ni polisi.
Wenye busara kama mimi na mtoa maada tumefikiria hili toka mwanzo, "kuwa kwa nini atekwe shida ni nini hasa!!!Hata angekua anauza chips, kwanini polisi wamteke au wakubali kutumika kumteka raia wa kawaida?
. Hao akina DR. Ulimboka na Sativa, ipo wazi kuwa source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️ ✍️
. Hata ukija yule jamaa aliyeuawa na polisi ( kijana wa madini mtwara pia inajulikana source ilikuwa ni nini..✍️ ✍️)
Wenye busara kama mimi na mtoa maada tumefikiria hili toka mwanzo, "kuwa kwa nini atekwe shida ni nini hasa!!!
. Je anasiri za Kambi ya serikali??
. Je ni mwanaharakati wa Chama fulani ??
. Je kuna mali za magendo wamezungukana??
Sahihi kabisa.Unajiita una busara ila mimi nakuona mweupe kama ream paper.
Tatizo sio kosa/shida iliyopelekea kutekwa. Tatizo ni njia iliyotumika kumkamata. Kwa "busara" zako wanasiasa pinzani na wanaharakati ni sahihi kutekwa? Kwanini njia sahihi zisitumike kukamata kama mtu anakosa fulani?
Hakika.1. Pingu
2. Sisi ni polisi
3. Tutakuuua
4. Tutakufata tena
Fanyeni ujinga tu, mtakuja kusababisha MAUJI KWA WATU WASIO NA HATIA. HAO MNAOWATUMA WANAFAMILIA PIA KUMBUKENI. FAMILIA ZAO ZIPO HUKU HUKU MTAANI.
SAWA, TUSUBIRI.
. Ngoja nikuache..... Maana naona nabishana na picha ya ukutani 🖼️🖼️.Unajiita una busara ila mimi nakuona mweupe kama ream paper.
Tatizo sio kosa/shida iliyopelekea kutekwa. Tatizo ni njia iliyotumika kumkamata. Kwa "busara" zako wanasiasa pinzani na wanaharakati ni sahihi kutekwa? Kwanini njia sahihi zisitumike kukamata kama mtu anakosa fulani?
. Mimi sihitaji namna wanavyokamata, ✍️.
incredible terminator ana hoja ya msingi ila 1. Ameweka doubts ambazo hazina mantiki 2. Uandishi wake ni majanga kwenye L na RTuachie polisi kwanza tuone taarifa yao itakuaje, maana inasemekana kwa wanaowajua hao "watekaji" wawili wametambuliwa kama ni polisi...
Pia mchukua video hakujisumbua kuchukua namba za gari
. Wamesema wao ni polisi 🤔🤔???
. Vipi wangejitambulisha kama wao ni misukule, ungekubali kuwa kweli wao ni misukule????
. Pingu hata watu binafsi wanamiliki ✍️.
Swali langu bado lipo pale pale, huyo mtu alikuwa anajihushisha na nini??... Tukipata jibu hapa ndo tutajua shida imeazia wapi...