Video ya mfanyabiashara alienusurika kutekwa kwa mtazamo wa kiuchambuzi Inafikirisha sana

Hakuna kinachoshindikana, kuna watu wanaandaliwa na wanakili walibaka na wewe na wote mnafungwa ukiwa hata huwajui na hata sura zao ndo mmeonana nazo mahakaman kwenye kesi. Mkuu hakuna linashindikana chini ya jua
Utakuwa sahihi kama hao watekaji watakamatwa na kufikishwa mahakamani, ili wakaeleze walimteka kwa sababu bonafsi.
 
No mfan ni mfanya biashara
 
Ni mfanya baishara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…