Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Jamaa anajuaPogba
Swae Lee
Chris brown
Jason Derulo
Diamojd Mchawi banaπ
Oyaaaaa, unaniweka kwenye wakati mgumu mwanangu, dah.Tukutane kwa mkapa Comasava yanga day π
Shadeeya Mahondaw ephen_ Nifah Mr Q
Mad Max Carleen
ukikaidi utapigwa2
KENZY
black angel
Shadow7
ngara23
Mpaji Mungu
BUSH BIN LADEN
MIXOLOGIST
uhurumoja
Tate Mkuu
LIKUD
Bantu Lady
TIMING
Natafuta Ajira
magnifico
Kitoabu
Msingida
Numbisa
Evelyn Salt
Wakipekee
MwananchiOG
Ndugu wana Yanga SC Unakosaje siku ya wananchi πππ Comasava yanga day π
Yaan mtoto mzuri Kama Bantu Lady ni yanga?? I don't believe thisTukutane kwa mkapa Comasava yanga day π
Shadeeya Mahondaw ephen_ Nifah Mr Q
Mad Max Carleen
ukikaidi utapigwa2
KENZY
black angel
Shadow7
ngara23
Mpaji Mungu
BUSH BIN LADEN
MIXOLOGIST
uhurumoja
Tate Mkuu
LIKUD
Bantu Lady
TIMING
Natafuta Ajira
magnifico
Kitoabu
Msingida
Numbisa
Evelyn Salt
Wakipekee
MwananchiOG
Ndugu wana Yanga SC Unakosaje siku ya wananchi πππ Comasava yanga day π
Naunga mkono hojaDirector Ivan alipoanza kufanya kazi na Diamond na wasafi kwa ujumla alijisifu sana mpaka kuwasema baadhi ya directors wenzake ambao hawajawahi kufanya kazi na Diamond kuwa bado ni watoto, hvy hawawezi kufanya kazi na watu wakubwa kama Diamond.
Sasa hv Diamond pamoja Wasafi nzima wamehamia kwa Director Folex na anawafanyia kazi nzuri zaidi ya Director Ivan (mtazamo wangu), lkn ht sijawahi kumsikia Director Folex akiwavimbia wenzake πͺ
Kwenye haya maisha tujifunze ku-balance shobo na tusijikuze kutokana na mafanikio yetu
Upo sahihi mkuu ππSija elewa ile cut ya gafra ya verse ya chley nkosi naona kama Director Ali zingua au mna onaje
Mbona mi naona ndio imenoga vileSija elewa ile cut ya ghafra ya verse ya chley nkosi naona kama Director Ali zingua au mna onaje