Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile sabuni za magadi unataka dada yangu azivae hiyo timu haifaiSawa, Ila ulipaswa uwe Simba.
Yaan ungependeza saana na zile jersey za blue.
Nimekusahau mwana Yanga SC mwenzangu karibu yanga Daymbona mimi ujanitag
Kaka tarehe nane sio mbali saana.Zile sabuni za magadi unataka dada yangu azivae hiyo timu haifai
Tutakupiga 7 mkuuKaka tarehe nane sio mbali saana.
Naunga mkono hoja kakaYanga day muhimu Sijui kwanini nahis ya mwaka huu itatisha sana Vincenzo Jr
Tupe sababu!Hiyo ngoma siikubali wala nini yani.
Unatutenga wana Simba sio?Comasava hili goma sisi yanga day ๐tuta enjoy sana kwa mkapa Cc @ephen_
๐๐คฃ๐คฃ๐๐๐KakaUnatutenga wana Simba sio?
Mkuu ungeficha huu upuuzi wako ungepungukiwa nn?? Ww ndio zuzu...hii video ni uwekezaji...na ishaanza onesha matunda yan cash flows...hapa jamaa atapiga shows nying...atalipwa dollars...atalipwa rand...atalipwa rupee..atalipwa euro..yuan na whtver kikubwa ni fedha za kigeni...na atakatwa kodi...fedha hizo atawekeza nyumban yan Tz atawalipa wafanyakazi....dancers...producers...kwa kifupi ataongeza mzunguko wa fedha...niendelee mwehu ww..unajua uchumi?...kwa nn kukawa na wizara ya sanaa na michezo..Badala mjadili mambo ya msingi yanayohusu uchumi na taifa kwa ujumla. Mnajadili upuuzi wa comasava ndio maana vijana wa hivi nchi tunaonekana mazuzu
Naunga mkono hojaMkuu ungeficha huu upuuzi wako ungepungukiwa nn?? Ww ndio zuzu...hii video ni uwekezaji...na ishaanza onesha matunda yan cash flows...hapa jamaa atapiga shows nying...atalipwa dollars...atalipwa rand...atalipwa rupee..atalipwa euro..yuan na whtver kikubwa ni fedha za kigeni...na atakatwa kodi...fedha hizo atawekeza nyumban yan Tz atawalipa wafanyakazi....dancers...producers...kwa kifupi ataongeza mzunguko wa fedha...niendelee mwehu ww..unajua uchumi?...kwa nn kukawa na wizara ya sanaa na michezo..
Sasa huku wewe umefata nini au ndio kuwashwaBadala mjadili mambo ya msingi yanayohusu uchumi na taifa kwa ujumla. Mnajadili upuuzi wa comasava ndio maana vijana wa hivi nchi tunaonekana mazuzu
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day ๐tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_
Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana
Comasava yanga day ๐
Exactly ๐ฏ brotherMichael Jackson sits happily in hell, knowing he put his fans in the safe hands of Diamond Platnumz
Yaniii umejuaje nilitaka nianzishe uzi japo mm sio mshabiki kivile wa dayamondi...ila kijana kajitahidi sana jamani yani kichupa ni ubaya ubwela mtupu...kazi wanayo wanaotoa vichupa vyao leo au kesho ..
Kijana fundii sana huyu kutoka tandale anajua mzikiYaniii umejuaje nilitaka nianzishe uzi japo mm sio mshabiki kivile wa dayamondi...ila kijana kajitahidi sana jamani yani kichupa ni ubaya ubwela mtupu...kazi wanayo wanaotoa vichupa vyao leo au kesho ..