Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye huyo ommy Derulo fundii sanaKwani Derulo ameomba aingie acheze tuu? Au? Nimemuona na Ommy Dimpoz hapo jwa mashekhe wa Dubai..😃😃
Em toka hapaSasa huku wewe umefata nini au ndio kuwashwa
Kwa hio Crown nae itakuaje na yeye ataachia mchupa kabla ya Sikukuu ya Makolo August 3 au itakuaje?Yaniii umejuaje nilitaka nianzishe uzi japo mm sio mshabiki kivile wa dayamondi...ila kijana kajitahidi sana jamani yani kichupa ni ubaya ubwela mtupu...kazi wanayo wanaotoa vichupa vyao leo au kesho ..
We Vipi?Em toka hapa
Kwani hyu dayamond mzee MAGOMA kampitisha akiwashe siku yenu ya utopolo?Kwa hio Crown nae itakuaje na yeye ataachia mchupa kabla ya Sikukuu ya Makolo August 3 au itakuaje?
Wewe ndio utoke hapaEm toka hapa
Naunga mkono hojaKuna watu mnachuki sizizo za msingi. Uchawi ndio huu sasa.
Jamaa fundii sanaMshenzi anajua. Director FOREX camera zake TZ HAKUNA NI ZA BEI GHALI.
lichawi hiloooooooooooooooo roho mbayaaaaa dunia mzima imekubali wewe unapinga?Oyaaaaa, unaniweka kwenye wakati mgumu mwanangu, dah.
Hiyo ngoma siikubali wala nini yani.
Ila nini? Tukutane Yanga Day.
Tukutane kwa mkapa mkuu.. kesho tunaanzia kwa MadibaTukutane kwa mkapa Comasava yanga day 🙌
Shadeeya Mahondaw ephen_ Nifah Mr Q
Mad Max Carleen
ukikaidi utapigwa2
KENZY
black angel
Shadow7
ngara23
Mpaji Mungu
BUSH BIN LADEN
MIXOLOGIST
uhurumoja
Tate Mkuu
LIKUD
Bantu Lady
TIMING
Natafuta Ajira
magnifico
Kitoabu
Msingida
Numbisa
Evelyn Salt
Wakipekee
MwananchiOG
Ndugu wana Yanga SC Unakosaje siku ya wananchi 💚💚💚 Comasava yanga day 🙌