Video ya msanii Diamond Platnumz Comasava ni video kali sana

Video ya msanii Diamond Platnumz Comasava ni video kali sana

Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_

Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana

Comasava yanga day 🙌


😂😂😂Mshenzi uyu mond kapiga mulemule kwenye kidonda wahuni wamebaki kuugulia maumivu
 
Wabongo mna kazi mpaka leo mna ushamba wa kusifia video kali? Nyimbo ni audio, watu wenye akili timamu wanastream audio!
Itoshe tu kusema wewe sio mfuatiliaji kiundani wa hii indasri ya myuziki mkuu..... fanya utafiti uone wenzetu wanavyotumia mabilioni kutengeneza video kali

Unashangaa wabongo kusifia video kali wakati ma awards makubwa huko duniani yanatoa awards za video kali za muziki

Shida yetu wabongo ni kwamba TUNAJIDHARAU sana kwa kila kitu,
Yaani kila kitu cha kibongo huwa tunachojua huwa ni kupondana tu
 
Itoshe tu kusema wewe sio mfuatiliaji kiundani wa hii indasri ya myuziki mkuu..... fanya utafiti uone wenzetu wanavyotumia mabilioni kutengeneza video kali

Unashangaa wabongo kusifia video kali wakati ma awards makubwa huko duniani yanatoa awards za video kali za muziki

Shida yetu wabongo ni kwamba TUNAJIDHARAU sana kwa kila kitu,
Yaani kila kitu cha kibongo huwa tunachojua huwa ni kupondana tu
Kwenye sector ya majungu, ujuaji na kuabudu wageni tupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom