Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #81
Ndio ndio kakaTukutane kwa mkapa mkuu.. kesho tunaanzia kwa Madiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndio kakaTukutane kwa mkapa mkuu.. kesho tunaanzia kwa Madiba
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_
Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana
Comasava yanga day 🙌
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_
Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana
Comasava yanga day 🙌
Ingekuwa imeimbwa na Baba watoto wako The Bold au Mdakuzi usingeikubali? Ngoma kali sana hii acha hizo Nifa!Oyaaaaa, unaniweka kwenye wakati mgumu mwanangu, dah.
Hiyo ngoma siikubali wala nini yani.
Ila nini? Tukutane Yanga Day.
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_
Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana
Comasava yanga day 🙌
Hii si ya kukosa Mkuu.Tukutane kwa mkapa Comasava yanga day 🙌
Shadeeya Mahondaw ephen_ Nifah Mr Q
Mad Max Carleen
ukikaidi utapigwa2
KENZY
black angel
Shadow7
ngara23
Mpaji Mungu
BUSH BIN LADEN
MIXOLOGIST
uhurumoja
Tate Mkuu
LIKUD
Bantu Lady
TIMING
Natafuta Ajira
magnifico
Kitoabu
Msingida
Numbisa
Evelyn Salt
Wakipekee
MwananchiOG
Ndugu wana Yanga SC Unakosaje siku ya wananchi 💚💚💚 Comasava yanga day 🙌
Hahahaa. Lol.Atakuja mtu kukoment “Ubaya Ubwela”
Kabisa naunga mkono hojaHii si ya kukosa Mkuu.
Wasicheleweshe kutoa jezi sasa.
😂😁😂😂😂Mshenzi uyu mond kapiga mulemule kwenye kidonda wahuni wamebaki kuugulia maumivu
Kabisa naunga mkono hojaHii ina potential ya kuwa global phenomenon kama Jerusalema ya yule dogo wa Sauzi.
Dogo yupo vizuri sana aisee 👏👏👏
Itoshe tu kusema wewe sio mfuatiliaji kiundani wa hii indasri ya myuziki mkuu..... fanya utafiti uone wenzetu wanavyotumia mabilioni kutengeneza video kaliWabongo mna kazi mpaka leo mna ushamba wa kusifia video kali? Nyimbo ni audio, watu wenye akili timamu wanastream audio!
Hakuna aliyeiangalia mkuu kwani humuoni Ahmedi Ally yuko morogoro na anailezea Simba iliyoko Ismailia km yuko nayoHuwezi amini mpaka sasa sijaiangalia hiyo video na niko dar hapa hapa 😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣Yule Chley akivua miwani ana sura nzuri asee sasa mbona anavaa kama mwanaume?
Kwenye sector ya majungu, ujuaji na kuabudu wageni tupo vizuri sanaItoshe tu kusema wewe sio mfuatiliaji kiundani wa hii indasri ya myuziki mkuu..... fanya utafiti uone wenzetu wanavyotumia mabilioni kutengeneza video kali
Unashangaa wabongo kusifia video kali wakati ma awards makubwa huko duniani yanatoa awards za video kali za muziki
Shida yetu wabongo ni kwamba TUNAJIDHARAU sana kwa kila kitu,
Yaani kila kitu cha kibongo huwa tunachojua huwa ni kupondana tu
Zaidi ya mil 500 za kitanzania...Pesa iliyotumika hapo ni nyingi sana.