TypingError
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 293
- 313
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anajua sanaNiseme tuu...🇹🇿🙏🏾 Diamond uishi milele...
Sio kidogo...video kaitendea haki...na itasumbua haswaJamaa anajua sana
Naunga mkono hojaSio kidogo...video kaitendea haki...na itasumbua haswa
Yan mjanja haswa kamtanguliza kwanza marioo na hakuna matata...afu kamkolezea...trending zitachuana ingawa baba ni baba tu hata akifa utaikuka picha seatroom..Naunga mkono hoja
Sasa hivi ndio Ina trending pale YouTube hii video inaweza kupiga watazamaji wengi ndani ya masaa 17 inaweza fikisha watazamaji milioni mojaYan mjanja haswa kamtanguliza kwanza marioo na hakuna matata...afu kamkolezea...trending zitachuana ingawa baba ni baba tu hata akifa utaikuka picha seatroom..
Naam...naamini...safi..hebu fikiria kile kipande alicho kata...akarusha verse ya south Africa ni akili kubwa sana imetumika...Sasa hivi ndio Ina trending pale YouTube hii video inaweza kupiga watazamaji wengi ndani ya masaa 17 inaweza fikisha watazamaji milioni moja
Pale folex aliupiga mwingi sana video Ina viwango vya kimataifaNaam...naamini...safi..hebu fikiria kile kipande alicho kata...akarusha verse ya south Africa ni akili kubwa sana imetumika...
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_
Hapa director folex katisha sana hii video kalii sana
Comasava yanga day 🙌
Naunga mkono hoja mkuu jamaa fundii sanaJamaa katumia hela ndefu sana,kwenye hii video.Kwa kifupi Mondi yupo seriously kupitiliza yaani zaidi ya userious wenyewe.
Mario nae Video nae katumia ,hasa ya mazingira yalio one kana kwenye Verse ya kwanza, sijui wapi pale.
Kamtanguliza Marioo kvp mkuuYan mjanja haswa kamtanguliza kwanza marioo na hakuna matata...afu kamkolezea...trending zitachuana ingawa baba ni baba tu hata akifa utaikuka picha seatroom..
😄😄😄😄 Mzee wa Hall 5, sumbai mimi ni Yanga halafu ni Yanga tena. Nyie sasa tutawaita Makolosanda...Yaan mtoto mzuri Kama Bantu Lady ni yanga?? I don't believe this
Yanga ni ya wadada Kama ephen_ Fujo nyingi
mbona mimi ujanitagTukutane kwa mkapa Comasava yanga day 🙌
Shadeeya Mahondaw ephen_ Nifah Mr Q
Mad Max Carleen
ukikaidi utapigwa2
KENZY
black angel
Shadow7
ngara23
Mpaji Mungu
BUSH BIN LADEN
MIXOLOGIST
uhurumoja
Tate Mkuu
LIKUD
Bantu Lady
TIMING
Natafuta Ajira
magnifico
Kitoabu
Msingida
Numbisa
Evelyn Salt
Wakipekee
MwananchiOG
Ndugu wana Yanga SC Unakosaje siku ya wananchi 💚💚💚 Comasava yanga day 🙌