SI KWELI Video ya ndege ya Brazili muda mchache kabla ya kupata ajali

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
This is AI videography tazama ilivyo land pia angalia moshi wake ambao ni graphicis moshi aubaki angani kwa black smoke usingekuwa unaona progress pia ndenge kuungua injini nne nikitu kisichokuwa cha kawaida!!na ikitokea basi ndege haiwezi kwenda sehemu ndefu kama inavyoonekana maana! Pia Boeng uwezi kuilaza kama fighter katikati ya maghorofa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…