Video ya shambulizi makini: Israel ina target magaidi kwa kujali hata maisha ya wanyama, maafa ya raia wengi ni kutumiwa kama ngao za magaidi.

Video ya shambulizi makini: Israel ina target magaidi kwa kujali hata maisha ya wanyama, maafa ya raia wengi ni kutumiwa kama ngao za magaidi.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni mfano wa shambulio la kupunguza casualities, wameyapa thamani maisha ya farasi kisha kuwatungua magaidi watatu kwa mpigo




Wiki kadhaa zilizopita kiongozi wa Hamas alitunguliwa, casuality ya ziada ilikuwaa ni ya mlinzi wake labda walikuwa wamelala kitanda kimoja.

Rais wa Iran alitunguliwa juu kwa juu kukiwa na casualities chache sana, hakukuwa na haja ya kulipua jengo lote.

Israel huwa inaumiza sana kichwa kushambulia madui zao Hamas, Hezbollah, wafadhili, n.k. ratio ya civilian casulaities na hata wanyama huwa ni ndogo sana

Vita ya Gaza walikuwa wanatoa muda wa wiki mbili watu wayahame makazi ili kuharibu miundo mbinu ya silaha zinazoishambulia Israel na magaidi wataobaki sehemu hizo kuilinda miundo mbinu, tahadhari zilizochukuliwa ni

Kupiga simu milioni 4
kutuma meseji milioni 6
kurusha vipeperushi milioni 1

vifo vingi vya wapalestina tulivyoviona ni kwa kutumika kama ngao ya Hamas kwa kulazimishwa kubaki eneo la hatari, Hamas kuweka miundombinu ya silaha maeneo yenye raia ili iIsrael wakishambulia wawasingizie, n.k.
 
Israel ingekuwa inarusha makombora ovyo ovyo mamilioni wangeteketea acha! They always consider and take the best option to minimize casualties.
  • Simu miioni 4
  • meseji milioni 6
  • vipeperushi milioni 1
  • Kuruhusu misaada ya chakula na maji viingie Gaza vinavyoishia kwa Hamas na kusingizia Israel
Operesheni moja tu hio yote hii kutoa onyo kabla ya operesheni za maeneo kadhaa Gaza, ni jeshi gani linafanya huu ubinadamu ?
 
  • Simu miioni 4
  • meseji milioni 6
  • vipeperushi milioni 1
  • Kuruhusu misaada ya chakula na maji viingie Gaza vinavyoishia kwa Hamas na kusingizia Israel
Operesheni moja tu hio yote hii kutoa onyo kabla ya operesheni za maeneo kadhaa Gaza, ni jeshi gani linafanya huu ubinadamu ?
Najaribu kuwaza IDF ingekuwa ndio Jeshi la Umma wa Uchina say, ni balaa! Gaza ingeshakuwa annexed long time ago na hakuna kitu wangefanya. Narejea hali huko Uyghur watu wanajifanya vipofu.
 
Ni mfano wa shambulio la kupunguza casualities, wameyapa thamani maisha ya farasi kisha kuwatungua magaidi watatu kwa mpigo

View attachment 3069071


Wiki kadhaa zilizopita kiongozi wa Hamas alitunguliwa, casuality ya ziada ilikuwaa ni ya mlinzi wake labda walikuwa wamelala kitanda kimoja.

Rais wa Iran alitunguliwa juu kwa juu kukiwa na casualities chache sana, hakukuwa na haja ya kulipua jengo lote.

Israel huwa inaumiza sana kichwa kushambulia madui zao Hamas, Hezbollah, wafadhili, n.k. ratio ya civilian casulaities na hata wanyama huwa ni ndogo sana

Vita ya Gaza walikuwa wanatoa muda wa wiki mbili watu wayahame makazi ili kuharibu miundo mbinu ya silaha zinazoishambulia Israel na magaidi wataobaki sehemu hizo kuilinda miundo mbinu, tahadhari zilizochukuliwa ni

Kupiga simu milioni 4
kutuma meseji milioni 6
kurusha vipeperushi milioni 1

vifo vingi vya wapalestina tulivyoviona ni kwa kutumika kama ngao ya Hamas kwa kulazimishwa kubaki eneo la hatari, Hamas kuweka miundombinu ya silaha maeneo yenye raia ili iIsrael wakishambulia wawasingizie, n.k.

View: https://x.com/suppressednws/status/1823295344081277321?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
  • Simu miioni 4
  • meseji milioni 6
  • vipeperushi milioni 1
  • Kuruhusu misaada ya chakula na maji viingie Gaza vinavyoishia kwa Hamas na kusingizia Israel
Operesheni moja tu hio yote hii kutoa onyo kabla ya operesheni za maeneo kadhaa Gaza, ni jeshi gani linafanya huu ubinadamu ?
IDF
 
Wakijificha nyuma ya makalio ya wanawake hakuna namna!
Akili za kishoga kwa hiyo mabomu yanachagua yanauwa watoto kisha yanawacha Hamas nyie walokole mna roho za ajabu sana.
 
Akili za kishoga kwa hiyo mabomu yanachagua yanauwa watoto kisha yanawacha Hamas nyie walokole mna roho za ajabu sana.
Mjinga! Waendelee kutumia wenzao kama kinga waone moto.
 
Back
Top Bottom