Walianzishe wenyewe halafu waanze kutafuta huruma! Majinga kweli.Duuuh sasa hivi ni muda wao kulia, kipindi wanaua waisrael walikuwa wanasherehekea
Hivi neno martyr huwa mnalichukulia poa?
kwahiyo mlitegemea muwavamie waisrael halafu wao wawaache tu mfanye sherehe na kuchekelea wao wakilia...🤔🤔
Akili hamna ushabiki na uzombi umewajaa hadi hao wafadhili wao marekani wameonya kuhusu mauaji ya raia kwa israel kutumia heavy bombs bila ya sababu za msingi kwa raia and thats genocide, hakuna taifa lolote duniani lililoua watu hadi sasa kama israel, ndio maana hata waziri wa vita gantz alijiuzulu na ndio maana waziri wa ulinzi wa sasa gallant anapingana wazi na netanyahu, acheni uzuzuNi mfano wa shambulio la kupunguza casualities, wameyapa thamani maisha ya farasi kisha kuwatungua magaidi watatu kwa mpigo
View attachment 3069071
Wiki kadhaa zilizopita kiongozi wa Hamas alitunguliwa, casuality ya ziada ilikuwaa ni ya mlinzi wake labda walikuwa wamelala kitanda kimoja.
Rais wa Iran alitunguliwa juu kwa juu kukiwa na casualities chache sana, hakukuwa na haja ya kulipua jengo lote.
Israel huwa inaumiza sana kichwa kushambulia madui zao Hamas, Hezbollah, wafadhili, n.k. ratio ya civilian casulaities na hata wanyama huwa ni ndogo sana
Vita ya Gaza walikuwa wanatoa muda wa wiki mbili watu wayahame makazi ili kuharibu miundo mbinu ya silaha zinazoishambulia Israel na magaidi wataobaki sehemu hizo kuilinda miundo mbinu, tahadhari zilizochukuliwa ni
Kupiga simu milioni 4
kutuma meseji milioni 6
kurusha vipeperushi milioni 1
vifo vingi vya wapalestina tulivyoviona ni kwa kutumika kama ngao ya Hamas kwa kulazimishwa kubaki eneo la hatari, Hamas kuweka miundombinu ya silaha maeneo yenye raia ili iIsrael wakishambulia wawasingizie, n.k.
Hahaha nafsi yako inakusuta umebadili mada. Hahaha😀Walianzishe wenyewe halafu waanze kutafuta huruma! Majinga kweli.
Ndipo watambue uchungu wa visasi....Walianzishe wenyewe halafu waanze kutafuta huruma! Majinga kweli.
Vita havina macho vinaua kuanzia sisimizi hadi tembo ardhini na nyangumi baharini haichagui wala kubagua mkubwa kwa mtoto......Hahaha nafsi yako inakusuta umebadili mada. Hahaha😀
Wanapambana Hamas.
View: https://x.com/qudsnen/status/1823421740317597818?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Israel wameisha wauwa Wapalestina zaidi ya Laki 2 sasa sijui nani analipiza kisasi nyie mmeanza kufahamu hivi vita JF october 7.Ndipo watambue uchungu wa visasi....
Magaidi yaache kujificha nyuma ya raia. Full stop
IDF ndiyo jeshi linaloongoza kutoa tahadhari beyond levels zilizowekwa na UNIsrael ingekuwa inarusha makombora ovyo ovyo mamilioni wangeteketea acha! They always consider and take the best option to minimize casualties.
Hamas huyu hapa.Magaidi yaache kujificha nyuma ya raia. Full stop
IDF ndiyo jeshi linaloongoza kutoa tahadhari beyond levels zilizowekwa na UN
Hamas wanatesa sana watoto wa Gaza. Ndio maana IDF wamejitoa mhanga kuwakomboa
Duuuh sasa hivi ni muda wao kulia, kipindi wanaua waisrael walikuwa wanasherehekea
Sana kama hapa Israel anamuokoa mtoto.Hamas wanatesa sana watoto wa Gaza. Ndio maana IDF wamejitoa mhanga kuwakomboa
Sana kama hapa Israel anamuokoa mtoto.
View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1823182686678130892?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw%5B/URL
Sana%20kama%20hapa%20Israel%20anamuokoa%20mtoto.
%5BURL%20unfurl=%22true%22%20media=%22twitter:1823182686678130892%22%5Dhttps://x.com/stairwayto3dom/status/1823182686678130892?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwHuyo mtoto anabembelezwa kabisa! Tuwekee na ile video magaidi yalivyomuua Mtanzania mwenzetu bila hata kumpa nafasi ya kujieleza
Ni mapumbavu sana pamoja na mafuasi yao kibaigwa. Siku yanamuuwa Joshua yalikuwa yanashangilia huku yanaimba ule mwimbo wa kigaidi "Allahu Akbar"Duuuh sasa hivi ni muda wao kulia, kipindi wanaua waisrael walikuwa wanasherehekea
Acha kurukia misamiati ya Genocide usiyoijua,Akili hamna ushabiki na uzombi umewajaa hadi hao wafadhili wao marekani wameonya kuhusu mauaji ya raia kwa israel kutumia heavy bombs bila ya sababu za msingi kwa raia and thats genocide, hakuna taifa lolote duniani lililoua watu hadi sasa kama israel, ndio maana hata waziri wa vita gantz alijiuzulu na ndio maana waziri wa ulinzi wa sasa gallant anapingana wazi na netanyahu, acheni uzuzu
Huna hoja za maana za kuzungumzia hapa zaidi ya umepata kibando chako na umeshadanganywa na mchungaji huko mbwinde unaongea tuGenocide ipi unazungumzia au kiingereza hukijui..
Genocide ni kama Hamas wanachotaka kufanya kuua waisrel wote Fro, the river to the sea, Hata Rwanda ilitokea
Genocide ipi hiyo unazungmzia hadi kuna vifo elf 30, kati ya hivyo 40 % ni Hamas ??
Ikumbukwe ratio iliyozoeleka ni 90 % Raia, 10 % ni millitants