Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Upuuzi wa Yanga usije kuufananisha club iliyosheheni Wasomi kama club ya Simba..Ujinga ujinga ndio kitu watanzania wanaweza, upuuzi wa hivi vilabu viwili ndio maana hadi leo hawana viwanja vyao. Haya ndio mazingira ya uwanja wa Simba wa mazoezi?
Ukiwa na akili Tanzania unatoboa sana kimaisha, tumia ujinga wao kujineemesha tuUjinga ujinga ndio kitu watanzania wanaweza, upuuzi wa hivi vilabu viwili ndio maana hadi leo hawana viwanja vyao. Haya ndio mazingira ya uwanja wa Simba wa mazoezi?
90% ya watanzania ni wajinga!Ukiwa na akili Tanzania unatoboa sana kimaisha, tumia ujinga wao kujineemesha tu