Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kichwani hewa kabisa.90% ya watanzania ni wajinga!
Ona mitandao inavyoteswa na habari ya simba na yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwani hewa kabisa.90% ya watanzania ni wajinga!
Bunju kuwe na fisi halafu kule Kimbiji kutakuwa na nini?Ila hapo mo arena hakuna fisi kweli
Wasomi ni nyie mliemleta Manzoki kwenye kampeni za Mangungu. Ushuzi mtupuKauli ya Manara inazidi kujithibitisha kuwa Wenye akili ni wawili tu hapo kwenye hiyo club... club imejaa waswahili na uswahili.... Pathetic fool... Huu kama sio uswahili ni nini...?? hivi kwenye hiyo club hakuna watu wasomi...?
Daah Yanga ni jeuri ....Kwa kweliMnyama anafuatwa kotekote lazima match apigwe
Hahaaa lazima kielewekeChama na mkude wanapajua vizuri huko bila shaka ndio wamekaa na dereva wanamuelekeza [emoji23][emoji23]
Hayo ni matumizi mabovu ya ubongoHuo ndio utani wa jadi, lakini wenzangu na mie wenye low IQ wanauwana kwa sababu ya simba na yanga pumbavu sana