Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
GSM ndio mpira wenyewe mkuu....ukimnyoosha huyo ...umeua sokaGsm ni mtu mdogo sana tutamnyoosha yeye na wapiga kelele wake kina priva
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GSM ndio mpira wenyewe mkuu....ukimnyoosha huyo ...umeua sokaGsm ni mtu mdogo sana tutamnyoosha yeye na wapiga kelele wake kina priva
[emoji3][emoji23]Tanzaniiia eeeeeeee..... funwwwww.... Tongwe Recod baby....
Wanamtaka my ( Simba) wakeNdugu zetu hawa wamechanganyikiwa ila tukiwawahi wanaweza kupona.
Hapana ...wanamfuata my wakeKuna shabiki wa Uto alifariki jana inasemwa chanzo ni shoti ya umeme, kwahiyo hapo nadhani baadhi ya mashabiki Wanaenda Msibani kwa marehemu huko Bunju.
GSM ni mtu mkubwa mno nchi hii, wenye kuelewa na muelewe. kuna mkono wa kigogo aliyewahi kushika usukani miaka kumi kurudi nyuma iliyopita. ni tajiri na jeuri lenye pesa kuliko yeyote nchi hii. nani asiyemfahamu?Gsm ni mtu mdogo sana tutamnyoosha yeye na wapiga kelele wake kina priva
Simba mara nyingi anakuwa dume na hakunaga mnyama shoga.
Huyo TUNAJUA ni dalali ndio maana njaa na aibu havimwishi.hata huo usukani alibebwaga na akasaliti wenziwe.GSM ni mtu mkubwa mno nchi hii, wenye kuelewa na muelewe. kuna mkono wa kigogo aliyewahi kushika usukani miaka kumi kurudi nyuma iliyopita. ni tajiri na jeuri lenye pesa kuliko yeyote nchi hii. nani asiyemfahamu?
Kumbe wapo tayari kucheza? Wasubiri tarehe itakayopangwa na bodiMnyama anafuatwa kotekote lazima match apigwe
Ni pumbavu wa Hali ya juu, walicho Fanya ni uchokozi na walienda chochea hasira za watu, assume ungetolea reaction na Mali kuharibiwa au mtu kudhuriwa angewajibika nani? Wamedhid kudhihirisha pumbavu waoKlabu ya Yanga iliwafuata wapinzani wao wa jadi, Simba SC, huko Bunju kwa ajili ya kuhakikisha mechi yao inachezwa.
Hata hivyo, badala ya msafara mzito, ni dereva na watu wachache tu waliofika Mo Arena kisha kupiga honi na kuondoka
View attachment 3264449
KikweteGSM ni mtu mkubwa mno nchi hii, wenye kuelewa na muelewe. kuna mkono wa kigogo aliyewahi kushika usukani miaka kumi kurudi nyuma iliyopita. ni tajiri na jeuri lenye pesa kuliko yeyote nchi hii. nani asiyemfahamu?
wewe wasema,mimi simfahamu.Kikwete
nani huyo alibebwa,akawasaliti wenzie na ilikuwaje mkuu?Huyo TUNAJUA ni dalali ndio maana njaa na aibu havimwishi.hata huo usukani alibebwaga na akasaliti wenziwe.