holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
mpira sio vita,kwamba wamekatiana mipaka kuwa ukivuka basi unaliwa kichwa. Mkuu,kila mtu ana free movement,na maendeo hayo ni sehem tu ya matembezi yao, kwa maana wana uhuru na haki ya kutembea, zindukaNi pumbavu wa Hali ya juu, walicho Fanya ni uchokozi na walienda chochea hasira za watu, assume ungetolea reaction na Mali kuharibiwa au mtu kudhuriwa angewajibika nani? Wamedhid kudhihirisha pumbavu wao