Video yaonesha kabla ya kifo cha mwandishi wa habari Abu Akleh hakukuwa na majibizano ya risasi

Sasa kesi itoke wapi wakati hao wavamizi wanalazimisha kukaa kwenye ardhi ya Abraham baba yao Israel?
Wapalestina ndio wa israel wa Zamani kama Hufahamu Shahidi zote za kisayansi za Dna za zamani za mabaki ya wa Israel wa zamani zinaonesha zinafanana na wapalestina wa sasa.

Na huyu Bibie aliekufa ni Mkristo Mzuri tu, ni Ajabu kuona wakristo wanafurahia Mkristo mwenzao kufa sababu tu kauliwa na Israeli.

Kesho wakija kuua wazazi wako ama watoto wako utapiga kabisa na Mziki kusheherekea?
 
Mungu gani huyo?.Si Mungu wa Israel?.kwa mujibu wa mila zao lakini sio Mungu wa kila mtu.Kwa hiyo Wangoni wafukuzwe Tanzania sababu kule Namtumbo sio kwao warudi Kwazulu Natal?
Uko sahihi Mkuu!

Mungu wa Wangoni, tuseme Songea Mozambique, Zimbabwe Hadi Kwa Zulu Natal, hiyo KIHISTORIA iwe Hadi leo ni kwao, wana haki ya kufanya chochote.
Ukirudi history ya powerful KINGS wa Ulaya, Ceasar, Napoleon, The Vikings, hao wafanyiane vituko simply historia inaonyesha maeneo mfano ya utawala wa Ottoman. Au Roman empire walivyomiliki maeneo makubwa ya Ulaya.
 
Wafuasi wa mudi mna matatizo sana. Kwahiyo mabaki ya maandiko ya wayahudi ndio hayo yapo kwenye quran? Weka ushahidi hapa tuuone.

Mtu wa dini yoyote akiwa spy against Israel lazima mosad wampe salamu. Mimi sifurahii kifo cha mtu yoyote.
 
Wafuasi wa mudi mna matatizo sana. Kwahiyo mabaki ya maandiko ya wayahudi ndio hayo yapo kwenye quran? Weka ushahidi hapa tuuone.

Mtu wa dini yoyote akiwa spy against Israel lazima mosad wampe salamu. Mimi sifurahii kifo cha mtu yoyote.
Sawa naona hata wale watoto wa Congo wanaouliwa kila siku na Ma zionist na Kuchimbishwa madini Yenye Kemikali ni ma Spy.
 
Amekuwa akiwakera Kwa muda mrefu sana maana Huwa anaenda kureport matukio ya uvamizi wa Israel ndani ya makazi ya wapalestina!
Wana roho ya kikatili sana hawa jamaa
 
Kuna uvumi eti alikuwa spy.
Wajinga hao,kama ni spy si wangemkamata siku nyingi mbona anaishi hapo mda mrefu,labda tuseme alikuwa anaanika uvamizi wao ndio wakawa hawampendi yeye na Aljazeera kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…