Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kaa kimya wewe unae mbwelambwela na kupata mihemko ukweli ukisemwa 🐒We jamaa ungekaa kimya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaa kimya wewe unae mbwelambwela na kupata mihemko ukweli ukisemwa 🐒We jamaa ungekaa kimya tu
Oya kuna mwamba hapo anasema mboni hawaoni wanawake katika harakati za uokoaji? Unakumbuka juzi nilikwambia nini kuhusu Wanawake?Ndo kutumia jembe na jepe kama Masai anamwokoa ndama alinasa kwenye shimo la nungunungu
Ukweli gani unaousema?kaa kimya wewe unae mbwelambwela na kupata mihemko ukweli ukisemwa 🐒
Relax na ueleze mambo yenye maana na sio kueleza mihemko na ghadhab zako nonsense wakati kazi kubwa ya uokoaji kwa wangwana walionasa kwenye vifusi inaendelea kwa umakini na weledi wa kiwango cha juu zaidi 🐒Taharuki uchwara vipi wakati Mama yenu kaingia mitini, ingekuwa Abdul yupo kwenye kifusi angepanda Ndege kwenda Brazil.
Watuheshimu Sanaa watu tunaoweza simamisha machine na kuutoa maji ya mchele, Hizi 50 kwa 50 zipigwe vita kama Bangi.Dah! Hivi Dunia Bila mwanaume ingekuajee?!Juzi nilikua namwambia ngara23 jambo hili nadhani leo atakua amenielewa nilikua namaanisha nini
Ungekaa kimya ungekua umepunguza niniRelax na ueleze mambo yenye maana na sio kueleza mihemko na ghadhab zako nonsense wakati kazi kubwa ya uokoaji kwa wangwana walionasa kwenye vifusi inaendelea kwa umakini na weledi wa kiwango cha juu zaidi 🐒
Watu tuna machungu, mnaleta ujinga na uhayawani wenu. Angekuwa ndugu yako yuko kwenye kifusi muda huu, ungeyaongea haya? Jitu zima kutafuta sifa za kingese. Unakatwa kila unapopumuakwa Neema na Baraka za Mungu maelekezo ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu, yaendelee kutekelezwa na kuzaa matunda kadiri ya mapenzi ya Mungu mwenyewe.
hakuna haja kubabaika gentleman![]()
Achana na Wapumbavuuu haooo,wanakeraaa sana.Watu tuna machungu, mnaleta ujinga na uhayawani wenu. Angekuwa ndugu yako yuko kwenye kifusi muda huu, ungeyaongea haya? Jitu zima kutafuta sifa za kingese. Unakatwa kila unapopumua
Huyu anajali tumbo lakeWatu tuna machungu, mnaleta ujinga na uhayawani wenu. Angekuwa ndugu yako yuko kwenye kifusi muda huu, ungeyaongea haya? Jitu zima kutafuta sifa za kingese. Unakatwa kila unapopumua
Wamezidi, ni bibadamu wa aina gani hawa? Hata kama hajulikani, yuko kwenye mtandao, aheshimu roho zilizotangulia, walio kwenye kifusi. Anawaza kusifia mtu ujinga, badala ya kuwawazia hao. Hawa ni mashetani, inaniuma watu wanakufa huko wanajiona. Mtu anasifia hapa huu ni wakati wake? Nimekuelewa Nzagambaaa 🤝Achana na Wapumbavuuu haooo,wanakeraaa sana.
Mnaleta uchawa hata kwenye maafa we jamaa bure kabisa .Relax na ueleze mambo yenye maana na sio kueleza mihemko na ghadhab zako nonsense wakati kazi kubwa ya uokoaji kwa wangwana walionasa kwenye vifusi inaendelea kwa umakini na weledi wa kiwango cha juu zaidi 🐒
Janabi akamatwe kinguvu afungiwe sehemu apewe misosi yote muhimu,
Daaah huyu Jamaa lazima nimtafute nimpe riziki kidogo niliyobarikiwa kama asante kwake. Mbeba mizigo kuwa na Moyo Mkuu hivi ni zaidi ya Baraka. Hakika una moyo wa ajabu na Mungu akufanikishie Ndoto zako za Kimaisha.
Miaka 3 iliyopita jamaa alizungumza kama utabiri
Wewe jamaa unaakili kweli?Gentleman,
kama kuna matukio na majanga yanahitaji umakini wa kiwango cha juu zaidi duniani katika uokoaji, basi ni pamoja na yanayofanana na hili la kariakoo..
kwani unahitaji kifaa gani hapo kwa mfano, gentleman?🐒