Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Ni Baadhi Ya Rafiki Zetu Waliotangulia Mbele Ya Haki Kwenye Ajali Ya Kuporomoka Kwa Ghorofa Leo Asubuhi.vyombo vya ulinzi na usalama, kamati ya maafa ya kitaifa na wananchi wa eneo la kariokoo, wanaendelea kufanya kazi nzuri na kwa weledi mkubwa licha ya ugumu na hatari ya kazi yenyewe ya uokoaji.
Mwenyezi Mungu afanye wepesi zaidi 🐒
vyombo vya ulinzi na usalama, kamati ya maafa ya kitaifa na wananchi wa eneo la kariokoo, wanaendelea kufanya kazi nzuri na kwa weledi mkubwa licha ya ugumu na hatari ya kazi yenyewe ya uokoaji.
Mwenyezi Mungu afanye wepesi zaidi 🐒
kikosi cha kushukuru na kutukuza kiko kazini tangu jana ajli ilipotokea
Yes,
Hivi jamaa ana akili kweli! Sasa Samia hapo anahusikaje?
Mwenyezi Mungu awaweke pale wanapostahili vijana hawa wenzetu waliothibitika kuaga dunia.Hawa Ni Baadhi Ya Rafiki Zetu Waliotangulia Mbele Ya Haki Kwenye Ajali Ya Kuporomoka Kwa Ghorofa Leo Asubuhi.
"Kwaherini Wanetu Tunaonana Tena Baadae🙏💔🕊View attachment 3154122
Painful Sanaa Mimi hapo infinix tower ukiingia mle Chini Kuna joto Kali sanaa na huwa nashindwa kuhema kulikoni uangukiwe na kifusi..Mwenyezi Mungu awaweke pale wanapostahili vijana hawa wenzetu waliothibitika kuaga dunia.
Rest In Peace peace, my friends, ladies and gentlemen🥀 🤭