Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sisi dah sijui tu yani tunashangaza mno
Kaa kimya msije mkapigwa kofi na Mungu maana Mungu hapokei tu report na kutoa maagizo ni yy anaona na kutenda!!Nadhani sote ni mashuhuda wa kazi nzuri iliyofanywa kwa amri ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Kinapangiwa ya kusemakikosi cha kushukuru na kutukuza kiko kazini tangu jana ajli ilipotokea
kwa Neema na Baraka za Mungu maelekezo ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu, yaendelee kutekelezwa na kuzaa matunda kadiri ya mapenzi ya Mungu mwenyewe.Kaa kimya msije mkapigwa kofi na Mungu maana Mungu hapokei tu report na kutoa maagizo ni yy anaona na kutenda!!

inatafakarisha mno aise dahPainful Sanaa Mimi hapo infinix tower ukiingia mle Chini Kuna joto Kali sanaa na huwa nashindwa kuhema kulikoni uangukiwe na kifusi..

ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu,😭😭😭kwa Neema na Baraka za Mungu maelekezo ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu, yaendelee kutekelezwa na kuzaa matunda kadiri ya mapenzi ya Mungu mwenyewe.
hakuna haja kubabaika gentleman![]()
Huu uchawa wenu kila pahala uwe unaishia mtandaoni, mtaani utapigwa mande.Yes,
Maelekezo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa kamati ya maafa ya kitaifa na mkoa yamechochea kwa kiasi kikubwa shughuli ya uokozi.
Mh.Rais aliamrisha na kuelekeza kwamba, vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na wataalamu wao vilekee eneo la tukio.
Nadhani sote ni mashuhuda wa kazi nzuri iliyofanywa kwa amri ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Tunamtakia safari njema nasi kama taifa tutaendelea kutekeleza maelekezo yake na kuhakikisha wale wote walioko chini ya kifusi, kwa Neema na Baraka za Mungu, wanapatikana wakiwa hai 🐒
Gentleman,Huu uchawa wenu kila pahala uwe unaishia mtandaoni, mtaani utapigwa mande.
Chadema sisi tulishashauri kila kitu. Uamzi ni wao.