Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoa kunahusikaje hapo,kuna nyuchi zinafanana labda awe na tatoo au alama maalumu sawaUmeoa? Mimi hata zitapangwa sehemu za Siri miamoja na za Mke wangu ziwekwe, nitazitambua tu za Mke wangu!!
Kwa mambo ambayo nishafanya kwa wake za watu, yaani hata wakinibandulia mke wangu hainiumi kihivyoInaumiza sana, ila asichukue maamuzi huku akiwa na hasira
Sasa Kama una hawala wengi au una mabibi wa kuja na kuondoka utapata wapi muda wa kukalili sehemu za Siri za mkeo?Kuoa kunahusikaje hapo,kuna nyuchi zinafanana labda awe na tatoo au alama maalumu sawa
Safari za siku hizi wamechakachua, wamepitwa mpaka na BalimiMwambie akanywe safari mbili kwanza za bariiidi
ha ha ha ha,utakuwa humpendi mkeo weweKwa mambo ambayo nishafanya kwa wake za watu, yaani hata wakinibandulia mke wangu hainiumi kihivyo
Utapata kesi ya kuingilia faragha ya mtu.Mimi hapo ningeliamsha pale pale na huyo jamaa nisingemrudishia simu yake mpaka mwisho wa kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata umpende kuliko kitu chochote,Kama Ni wakuchepuka lazima achepuke tu,usijiumize juu ya mtu ambaye naye ana maamuzi yake binafsiha ha ha ha,utakuwa humpendi mkeo wewe
Ahaa we jamaaa wewe,kama hakuna sura au mwili ni nyeti hakuna kesi hapo bloo anakuruka mchana kweupe,Sasa Kama una hawala wengi au una mabibi wa kuja na kuondoka utapata wapi muda wa kukalili sehemu za Siri za mkeo?
Haondoki hakuna sura yake kwenye videoSimple sana.
Lihakanga am forwadie mkewe hizo picha halafu akifika nyumbani asiliongelee.
Siku tatu nyingi, mwanamke atafungasha virago
Hiyo ndiyo inaitwa heavy weight gain.anataka aamshe ili agundue nini??
kama ana moyo wa kiume mwambie amforwadie mkewe kisha akaushe.
ajabu mwanaume huyu utashangaa yuko analia huko,na kupiga yeye magoti.
nakaziaVideo iko wapi tuithaminishe
Ova