Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hata hao sina tatizo nao kama ni above 18Kwani wavuta bangi wanavuta hadharani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hao sina tatizo nao kama ni above 18Kwani wavuta bangi wanavuta hadharani?
Kosa la jinai ni kosa tu hata kama unalifanya faragha.Ila ni jambo la faragha. Au huwa unapiga deki hadharani?
Ila kusuguana minyeo wanaume?Hata hao sina tatizo nao kama ni above 18
Kosa la jinai ni kosa tu hata kama unalifanya faragha.
Achana na mimi.Pambana na hali yako,kizazi kimeshavurugwa utajiumiza roho bure,ilinda familia yako.
Watajua wenyewe maana hawafanyii mbele yangu, sina cha kunikeraIla kusuguana minyeo wanaume?
sasa rafiki, watu haya mambo wanayafanya sana hata walio kwenye ndoa.... nilikua na kijana anatoak nyanda za juu kusini, alioa mke sehemu za bahari (....), aliniambia kuwa wazee , wazee wa kimila, miaka 60=80 walimwita wakati wanamkabidhi mke kuwa lazima na kule ufanye ..........Sijakejeli. Hapana na nazungumzia unnatural offence ambayo imepigwa marufuku kisheria. Hata kama ukifanya faragha ni kosa.
Watu wanasoma alama za nyakati, kwa jinsi dunia inavyoelekea kuna mambo lazima utumie uchaguzi wa maneno ili kulinda ugali wako. Zito ni mwanasiasa siyo kiongozi wa dini, na kwenye siasa mashoga na wasagaji hawana tatizo. Ikiwa hata baadhi ya viongozi wa dini wanabariki ndoa za jinsia moja, inaonyesha swala hili ni vigumu kwa sasa kulipinga ikiwa ni mwana siasa. Ama sivyo utakosa wanachama na wafuasi wa chama na hata uungwaji mkono kimataifa, kwani mashoga ni wengi na wana nguvu kubwa kisiasa na kiuchumi.Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu falagha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga ushoga.
View attachment 2815486
Mnamtetea Zitto kwa sababu amefanana Misimamo na Tundu Lisu!sasa rafiki, watu haya mambo wanayafanya sana hata walio kwenye ndoa.... nilikua na kijana anatoak nyanda za juu kusini, alioa mke sehemu za bahari (....), aliniambia kuwa wazee , wazee wa kimila, miaka 60=80 walimwita wakati wanamkabidhi mke kuwa lazima na kule ufanye ..........
Swali linatakiwa liwe na mitego baada ya kugundua kila mpenda democracy anaunga mkono usawa wa kijinsia ambamo ndani yake ndo kuna ushoga.Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu falagha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga ushoga.
View attachment 2815486
Makamanda wanafeli sana.Mnamtetea Zitto kwa sababu amefanana Misimamo na Tundu Lisu!
Haiwezi kuwa milele kwamba ipo siku watafanya tendo hadharani?Tatizo ni hiyo faragha haiwezekani kuwa faradha milele.
Kisichofaa hakifai tu hata kikifanyika gizani.
NdioHaiwezi kuwa milele kwamba ipo siku watafanya tendo hadharani?
Sijawahi kuona wala kusikiaNdio
Kimebakiza makunyanziKina laana hicho kizee
Tunajifunza kwa waliotangulia kuhalalisha hiyo faragha.Sijawahi kuona wala kusikia