Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

Hata huko ughaibuni kwa weupe walianza na hoja ya kutoingilia faragha za watu then baadae wakaja na hoja kutambua mahusiano ya jinsia moja.

Now days wameruhusu mashoga na wasagaji kufunga ndoa na kuanzisha familia.

Sasa hivi wanajuta maana wameshaanza kuwafundisha watoto wadogo mashuleni maswala ya ushoga na kujibadili jinsia.
Wapi huko wanako jutaaa??
 
Zitto kanifanya nicheke sana yani kumbe kuna namna ya kujibu hili swali ambayo haitakuwa na makali sana.

Yani kuna ujibuji wake wa hili swali ambapo haitaonesha kuwa unapinga ushoga bila

Lakini viongozi wetu kwanini kwenye ishu ya kupinga ushoga wanakuwa na kauli za kusita (indirect) lakini kwenye kukemea madada poa wanaenda straight?

Natamani hili swali aulizwe Chalamila siku moja
Rais mwenyewe kuhusu ushoga alishamaliza kila kitu, shida wananchi hawataki kuelewa.

Ndo ishapitaaa hiyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee hata kama ni misaada ya taasisi ila mila,desturi,imani zinazotawala maisha yetu na majibu ya nyepesi, inasikitisha...... anyway tumeshapoteza mwelekeo tayari
 
Swali linatakiwa liwe na mitego baada ya kugundua kila mpenda democracy anaunga mkono usawa wa kijinsia ambamo ndani yake ndo kuna ushoga.

Swali liwe hivi:-
Ukiachia mbali juu ya kuheshimu faragha za watu nini maoni yako juu ya kukubali au kukataa mambo ushoga na ujumla wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna jibu litakuja "kila mtu ana faragha yake na iheshimiwe".
 
Ndo utumie nguvu kuwaepusha watoto wako na hilo balaa.
Kwa dunia ya sasa utapinga haya mambo lakini hutakuwa na nguvu ya kuzuia hata iweje.

Serikali yenyewe imeshindwa thats why unaona mashoga wakitamba bila wasiwasi na sheria walizoziweka wanashindwa kuzisimamia.

Pambana kulea watoto wako katika njia sahihi ili kuwaepusha
Uzi ufungwee.
 
Kuna mambo mengine hata ukisema unapinga hayapunguzi waka kuongeza kitu kwa maana mambo yenyewe yanafanyika gizani, huwezi hata kuthibitisha.

Mabinti wengine wanadai ni marafiki sana, kila mara wapo wote, wanalala chumba kimoja, hujui kama ni urafiki tu au ndio wanafanyiana huo uchafu, na huna uwezo wa kuthibitisha.

Tukazane kuwalea watoto wetu katika maadili tunayoyaamini japo hatuna uhakika wa 100% kuwa hawawezi kuja kuyageuka maadili yetu.

Lakini kwa upande mwingine, si aheri shoga kuliko wanaoteka watu, wanawaua, wanapora mali za watu, halafu bado tunawashangilia kwa sababu wamepanda punda au lorry. Shoga anafanya huo uchafu kwenye mwili wake, lakini haya majitu tunayoyashangilia yalikuwa yanaumiza na kupoteza nafsi za watu wasio na hatia.

Bila shaka itakuwa rahisi kwa shoga kuionja ahera kuliko watekaji, wauaji na wadhulumu mali za watu kwa kutumia madaraka yao. Yamelaanika majitu hayo na vizazi vyao.

Hata haya mafisadi ya kwenye report ya CAG, yanaumiza jamii kubwa ya watu kuliko mashoga. Kila.mmoja akiulizwa ameumizwa na nini na kwa kiasi gani na mashoga, ni wachache sana watakaopatikama, na zaidi watakuwa wanafamilia wa hao mashoga, na zaidi watakuwa wameuamia kisaikolojia kuliko ule uhalisia wa moja kwa moja.
Comment ya kufungia uzi!! [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Ni kujitoa ufahamu kuwa eti tunachukia ushoga wakati tumeshindwa kuwachukia wevi wa pesa ya umma, tumeshindwa kuwachukia wauaji na waporaji, tumeshindwa kuwachukia wevi wa kura, tumeshindwa kuwachukia wanaouza rasilimali za nchi kwa manufaa yao.

Yaani ushoga usioyagusa moja kwa moja maisha yetu utuumize kuliko uchafu wa kila aina tunaofanyiwa na watawala, na tunaendelea kuwashangilia na kuwapamba.

Kama kweli tunachukia uovu, tunze kwanza na hili shetani lililokuwa linasimamia utekaji na mauaji ya wakosoaji wa serikali.ya awamu ya 5. Tuje na hawa waliouza bandari na mamlaka ya nchi yetu, tumalizie na haya mafisadi yaliyotajwa na CAG. Vinginevyo, kusema tunachukia ushoga ambao haugusi maisha yetu moja kwa moja, ni unafiki.
Hili neno ungeandika kwa herufi kubwa.
UNAFIKIIII.
 
Aisee hata kama ni misaada ya taasisi ila mila,desturi,imani zinazotawala maisha yetu na majibu ya nyepesi, inasikitisha...... anyway tumeshapoteza mwelekeo tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] misaada na mikopoo mnatakaa, ila vingine eti ooh mila na desturi?

Kwan kukopa na kupewa misaada ndo mila na desturi zenu? Woiiiiiih
 
Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu faragha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga ushoga.

View attachment 2815486

==

Yaliyozungumzwa ktk video hiyo.

Edwin Odemba alimuuliza Zitto Kabwe kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anapinga ushoga. Zitto akasema "Nipo tayari kuitangazia dunia kuwa naheshimu faragha za watu". Odemba akabadili swali kwa kusema Zitto anakubaliana na ushoga. Zitto akajibu naheshimu faragha za watu
Kwanza kabisa Muuza Kangala unajua kwamba Tanzania haina sheria inayopiga marufuku ushoga.

Usichanganye na sheria inayokataza mapenzi kinyume na maumbile tuliyorithi toka kwa Muingereza ambayo inagusa hata wanandoa au wapenzi wa jinsia tofauti. [Sijui watagundulikaje? Kwa kuchunguliwa au kwa kutegeshewa kamera na kurekodiwa kwa siri?]

Lakini leo mtu akijitambulisha hadharani kama shoga, hawezi kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Hakuna sheria ya kumshtaki kama hajakutwa akifanya tendo. Sasa ni vipi ushoga unakatazwa hapa Tanzania? Kwa kukemewa? Kwa kauli za wanasiasa?
 
Kwanza kabisa Muuza Kangala unajua kwamba Tanzania haina sheria inayopiga marufuku ushoga.

Usichanganye na sheria inayokataza mapenzi kinyume na maumbile tuliyorithi toka kwa Muingereza ambayo inagusa hata wanandoa au wapenzi wa jinsia tofauti. [Sijui watagundulikaje? Kwa kuchunguliwa au kwa kutegeshewa kamera na kurekodiwa kwa siri?]

Lakini leo mtu akijitambulisha hadharani kama shoga, hawezi kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Hakuna sheria ya kumshtaki kama hajakutwa akifanya tendo. Sasa ni vipi ushoga unakatazwa hapa Tanzania? Kwa kukemewa? Kwa kauli za wanasiasa?
Acha upumbavu. Ushoga ni unnatural offence. Kwani hata hii penal code tumeirithi toka India kwq nia njema. Pumbafu
 
Mbona swali lipo straight alafu anajibu naheshimu faraga za watu..huyu ni mkxndu anaunga mkono ushogo..ajibu ndio au Hapana..Baadhi ya wafrika bhana kama mavi tu..hata mauwaji,uchawi na ubakaji yanafanyika faraghani..kwa hiyo nahayo anaheshimu kwa mujibu ya majibu yake..watu kama hawa wanatia hasira..hapo anajiona ana akili alivyojibu hivyo.
 
Back
Top Bottom