Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

no, yuko vuguvugu, hivyo ni opportunist, ni aidha unapinga homosexuality kwa sababu uko upande wa Mungu au unakubali homosexuality kwa sababu you are Godless, hii ishu haina uvuguvugu, zito kabwe yuko vuguvugu sababu anaogopa kukasishirisha wayahudi ambao wanatesa waislamu wenzake hata hivyo lkn anapenda $$$ zao wanazompa, hafiki mbali kwa uvuguvugu, he is corrupt, period!

Zito ni wale wanasiasa malaya,anatoa mzigo kokote kwenye fursa.
 
no, yuko vuguvugu, hivyo ni opportunist, ni aidha unapinga homosexuality kwa sababu uko upande wa Mungu au unakubali homosexuality kwa sababu you are Godless, hii ishu haina uvuguvugu, zito kabwe yuko vuguvugu sababu anaogopa kukasishirisha wayahudi ambao wanatesa waislamu wenzake hata hivyo lkn anapenda $$$ zao wanazompa, hafiki mbali kwa uvuguvugu, he is corrupt, period!


Very corrupt. And when one’s Soul is corrupted then he’s is dead from within.

In short, he’s part of the walking dead aka Zombie.
 
Wakiwa faragha wewe utajuaje wamesuguana?
Tena hawa wanaojifanya kuchunguza faragha za watu ni mashetani kweli kweli. Hivi mtu anayeiba fedha ya hospital na watu wakafa kwa kukosa dawa na shoga ni nani shetani zaidi? Kwenye mambo ya ushoga hata mimi siwezi kuingilia faragha za watu vyumbani mwao. Mbona wapo wanaume wengi tu wanalawiti wanawake, kwani wana tofauti gani?
 
Tena hawa wanaojifanya kuchunguza faragha za watu ni mashetani kweli kweli. Hivi mtu anayeiba fedha ya hospital na watu wakafa kwa kukosa dawa na shoga ni nani shetani zaidi? Kwenye mambo ya ushoga hata mimi siwezi kuingilia faragha za watu vyumbani mwao. Mbona wapo wanaume wengi tu wanalawiti wanawake, kwani wana tofauti gani?
Wao huona sawa mwanamke akiingiliwa. Hiyo sio dhambi kwao
 
Hoja yako haiko balance ....hapo kwenye kujipost ? Je kujipost wakifanya ngono au kujipost kwa namna yoyote ...yaani mtu akiwa shoga asiweke picha zake mitandaoni ...maana wanaweza kuweka picha safi tu ila wakatumia nembo kama hizi [emoji304][emoji2524]‍[emoji304][emoji304][emoji2524]‍[emoji304]
Hata picha zenye kuashiria ushoga hakuna kupost, au clip za kulamba midomo wasipost, wakioost watashughulikiwa
 
Mamende utawajua tu.

eti wanajificha kwenye koti la kuheshimu faragha za watu
 
Kwanza kabisa Muuza Kangala unajua kwamba Tanzania haina sheria inayopiga marufuku ushoga.

Usichanganye na sheria inayokataza mapenzi kinyume na maumbile tuliyorithi toka kwa Muingereza ambayo inagusa hata wanandoa au wapenzi wa jinsia tofauti. [Sijui watagundulikaje? Kwa kuchunguliwa au kwa kutegeshewa kamera na kurekodiwa kwa siri?]

Lakini leo mtu akijitambulisha hadharani kama shoga, hawezi kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Hakuna sheria ya kumshtaki kama hajakutwa akifanya tendo. Sasa ni vipi ushoga unakatazwa hapa Tanzania? Kwa kukemewa? Kwa kauli za wanasiasa?
Kwelii kabisaa.
 
Mbona swali lipo straight alafu anajibu naheshimu faraga za watu..huyu ni mkxndu anaunga mkono ushogo..ajibu ndio au Hapana..Baadhi ya wafrika bhana kama mavi tu..hata mauwaji,uchawi na ubakaji yanafanyika faraghani..kwa hiyo nahayo anaheshimu kwa mujibu ya majibu yake..watu kama hawa wanatia hasira..hapo anajiona ana akili alivyojibu hivyo.
Poleee kwa kutesekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zitto Kabwe hataki kuzungumzia sex life yake.
Hakuna kosa katika kukataa kuulizwa kuhusu sex life yako.
Very interesting question. Sijawahi kuulizwa hili swali.
Poppy Hatonn,uko tayari kusema kwamba unapinga ushoga.
Niseme tu, huko Vatican maaskofu wanabishana kuhusu ushoga wamekaribia kupigana ngumi.
Nadhani jinsi ya kumuuliza mtu,ni kusema,"Kama mvulana anataka kutafunwa,una neno gani la kumwambia? Kama mwanaume anataka kumtafuna mwanaume mwenzake,una neno gani la kumwambia? Kama wanaume wawili wamejifungia katika chumba na unashuku wana nia mbaya,utawaacha waendelee au utaenda kuubamiza mlango kuwataka wafungue mlango?"
Haya ndo maswali yako unaona yanakosa majibu? Mbna hata mtoto mdogo anajibu.
 
Hakuna cha Godless hapo, tumechoka mapropaganda yenu.

Wacha watu WABAMIZWE VINYEO kwa raha zao, kama unaona gere na wewe jiunge UTAFUNWE.

Hatutaki tena MAHADITHI YA KUFIKIRIKA, ni ama unataka kufirwa au hutaki kufirwa unapita kushoto. SIMPO.
Wizooo unajua kujibu weyee.
 
Mkuu hata JF tu inapata funds nyingi kwa sababu inalinda faragha za watumiaji wake. Ikitokea siku wamepinga masuala ya LGBTQ I suppose itafungiwa udhamini. So as much as tunasimamia sheria ila kuwa tegemezi kwa wazungu inatunyima uhuru moja kwa moja kupinga issue kama hizi.
Sasa mbna JF ukizungumzia LGBTQ mada au comment inafutwaa,
Maxence Melo sorry Mr njoo ujibu hapa.
 
Hoja yako haiko balance ....hapo kwenye kujipost ? Je kujipost wakifanya ngono au kujipost kwa namna yoyote ...yaani mtu akiwa shoga asiweke picha zake mitandaoni ...maana wanaweza kuweka picha safi tu ila wakatumia nembo kama hizi [emoji304][emoji2524]‍[emoji304][emoji304][emoji2524]‍[emoji304]
Bora ajee hapa aeleze kupost nn, ili watu wajue namna ya kumjibu
 
Back
Top Bottom