Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mgombea wao alivyo kilaza hata kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli tu hataki na Anakimbia!! Mbaya zaidi ndo anataka watanzania tumchague!!! Thubutu yake!!!😂😂
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu!
Lazima niwekeze kwa Tundu Lissu maana hatma ya maisha mazuri ya mke wangu na watoto wangu ipo mikononi mwake.Na ulivyo wekeza kwa huyo tundu, hivi una plan B kweli, usije jinyonga tu kwa maana sidhani hata Mke na watoto wa tundu wamewekeza hivyo kwa tundu kama wewe, duh, ...
Lazima niwekeze kwa Tundu Lissu maana hatma ya maisha mazuri ya mke wangu na watoto wangu ipo mikononi mwake.
Siwezi wekeza kwa mtu muuaji, katili na fedhuli kama Meko wenu.
Anaogopa akirudi likizo asije akakutana na wasiojulikana
Pale aliwekwa tu,Bashiru Ally Ni mtu mkubwa kwenye taasisi ya CCM, mbona kuchokonoa pua mbele ya camera?
Zama zimebadilika atishwi mtu,wao wapo wachacheWanatumia ubabe wa kijinga sn
Wapo juu ya sheriaZama zimebadilika atishwi mtu,wao wapo wachache
Wahutu ndivyo walivyo lakini muda wa kuwafurusha kwao Burundi umewadiaBashiru amekuwa mkali mpaka anamtisha mdada wa watu, Bashiru ukiulizwa swali jibu, sio unaulizwa na wewe unajibu kwa kuuliza, tena kwa sauti ya ukali, tulieni hii ndio Tanzania ya watanzania, na Lissu ndio chaguo letu.