Video: Zuhura Yunus ulikuwa unaogopa nini?

Video: Zuhura Yunus ulikuwa unaogopa nini?

Ukiwa CCM lazima uweledi wako na Taaluma yako ishuke kwa asilimia Fulani. Huyu sio yule Dkt Bashir wa miaka ile. Kungekuwa na automatic gauge ya kupima taaluma ya mtu ingemrudisha kwenye Bachelor.
 
BBC haikufanikiwa kumpata Magufuli,huyu jamaa anaweka ukuta wa kuhojiwa.
It's so sad, hakuna interview yoyote ambayo Magu ashafanya na vyombo vya habari toka aingie madarakani, hata wakati huu wa uchaguzi hakuna kabisa.

Uchaguzi wetu ni waajabu sana.
 
Huyu bashiru mm bnafsi simlaumu hasa nkikumbk yeye na polepole walkuwa vyama vngne wakawa wanaiponda sana ccm sasa hv wapo ccm utawaamn hao watu kwa watakachokiongea?elimu yetu mtu unakuwa na phd lkn dah!!
Walikuwa vyama gani?!!
 
Safi sana Katibu Mkuu wa CCM, kazi tuliyonayo watu wenye mapenzi mema na nchi hii ni kumpa kura za NDIO Magufuli October 28th.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
It's so sad, hakuna interview yoyote ambayo Magu ashafanya na vyombo vya habari toka aingie madarakani, hata wakati huu wa uchaguzi hakuna kabisa.
Uchaguzi wetu ni waajabu sana.
Sisi wananchi hatutaki interview tunachotaka ni maendeleo tuu kwenda mbele.

October 28th twende tukampe kura za NDIO JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Yaani mgombea wao alivyo kilaza hata kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli tu hataki na Anakimbia!! Mbaya zaidi ndo anataka watanzania tumchague!!! Thubutu yake!!!😂😂

Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu!
hivi kama unafamilia ya mke na watioto wangekuwa wanakujua wewe unaeandika huu utumbo wangekudharau sana yaani lissu awe raisi ? labda wa tff
 
Sioni cha kuponda wala kusifia hapo inaonyesha tu mahaba ya Zuhura kwa wapinzani muda wake wa kuendelea BBC umeisha BIBI
 
Tegemeo la ccm huwa ni nguvu sasa hio dola wanayoitegemea ndio wameitenda kwa kuwanyima haki zao ikiwemo nyongeza za mishahara, wasijaribu kutumia njia hii ili hao wanaowategemea wasipate mwanya wa kuwageuka
 
Yaani mgombea wao alivyo kilaza hata kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli tu hataki na anakimbia! Mbaya zaidi ndo anataka watanzania tumchague!!! Thubutu yake!😂😂

Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu!
lilichelewa kuongea lile jambazi la kihutu, lilianza kuzungumza likiwa 8years old
 
Yaani mgombea wao alivyo kilaza hata kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli tu hataki na anakimbia! Mbaya zaidi ndo anataka watanzania tumchague!!! Thubutu yake![emoji23][emoji23]

Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu!
Halafu huwa anasema yeye ni Rais anayejiamini....l
 
Bashiru amekuwa mkali mpaka anamtisha mdada wa watu, Bashiru ukiulizwa swali jibu, sio unaulizwa na wewe unajibu kwa kuuliza, tena kwa sauti ya ukali, tulieni hii ndio Tanzania ya watanzania, na Lissu ndio chaguo letu.
Nikuondoe hofu ndugu yangu, CCM ina wanachama milioni 17 Tanzania nzima ambao wote wanavyeti vya kupiga kura na wamejiandikisha kupiga kura mwaka huu.

Jumla ya wapiga kura wote waliojiandikisha nchini ni milioni 29. Na ili mgombea urais aweze kupita anahitaji asilimia 51 ya kura zilizopigwa. Wataalam wanaita majority rule.

Sasa ukiangalia mahesabu yalivyo, kutokana na idadi ya wanachama wa CCM peke yake, watakao mpigia kura Rais Magufuli, imezidi nusu ya idadi ya wapiga kura wote waliojiandikisha.

Mimi sielewi kwa idadi hii ya wanachama wa kadi na sio wafuasi wa CCM, Tundu Lissu, Malim Seif na nyie wafuasi na mashabiki wa vyama vya upinzani mnapata wapi ubavu wa kusema kuwa mnauwezo wa kuishinda CCM mwaka huu na kumwangusha Magufuli? Hamwoni kuwa mnajipa stress za bure?

Kama Lissu amewatumia hao wafadhili wake kummpa pesa ya kuwahonga baadhi ya wanachama wa CCM ili wampigie kura yeye badala ya Magufuli, hapo naweza sema sawa. Vinginevyo ningemshauri siku ya uchaguzi atafute haraka sana njia ya kukitoa kurudi huko aliko toka, maana matokeo yakitangazwa na ikaonekana kwamba ameshindwa uchaguzi, ajue hii nchi itakuwa chungu sana kwake na kwa familia yake.

Matusi yote aliyo yaporomosha kwa Mweshimiwa Rais Magufuli na vyombo vya usalama, sidhani kama atabaki salama nchi hii. Akitaka kujua mengi, kwanini nasema
hivi, ninge mwomba amwuulize Manji kilicho mtokea, baada ya kuwaambia waandishi wa habari kuwa yeye anaongea na mwenye mbwa na sio mwangalizi wa mbwa.

Lissu asiwadanganye watanzania na The Hague yake. The Hague atapelekwa yeye na wachochezi wa amani na usalama wa nchi kama vurugu itatokea na sio Rais Magufuli wala mastafu wa vyombo vya Dola. Aache usanii wake wa kuwaadaa nyie makachero wake.

Lissu kwanza sio mwanasheria mjuaji ana shahad za mambo yanayo husu sheria na hajui sheria hata moja. Ni mlopokajia tu. Yeye ninavyo mwona mimi ni msomaji tu wa vitabu vya kihistoria na kupanga maneno yanayo husu historia, lakini sio mjua sheria. Ana fantasy tu kichwani.

Kauli zake za kuwaambia watu wasitoke kwenye vituo vya uchaguzi na kwamba matokeo yakitangazwa kinyume cha mategemeo yao waende barabarani, hiyo tayari ni tendo la uchochezi na ni uvunjifu wa amani kama hajui na jambo ambalo yeye linaweza likampeleka In The Hague na kushtakiwa endapo machufuko na umwagaji wa damu utatokea.

Yeye anavyo wahimiza wafuasi wake waende barabarani na sisi tunao mpenda Magufuli je, tutakuwa wapi? Anafikiri sisi tutakaa tu nyumbani na kuwaangalia wao wanavyo andamana barabarani kwenye TV na Social Media? Inatakiwa asahau kitu kama hicho. Sisi nasi tuta ji-mobilize tukutane nao barabarani. Mengine yatajulikana huko.

Yeye kama mgombea wa Urais alitakiwa amwage sera za kujenga Taifa na sio kauli za kuleta vurugu. Hii yote anajua kuwa ushindi hata upata kwa hiyo amekuja kuleta chaos kwetu kama alivyo tumwa na matechnician wake wa nje wa kuleta vujo.

Bernad Kamilius Membe mimi namwona ni mtu makini sana, japo kuwa watu wana mdharau na kumwona yeye chizi tu. Alisema kwenye kikao chake juzi na wahandishi wa habari kuwa ushindi wake unategemea mpasuko wa CCM na sio vingine. Yeye anajua fika bila mfarakano wa CCM, hawezi ambulia kitu. Ni kujidanganya mwenyewe.

Na ndiyo maana lengo lake kubwa, kwa wale wanao msikiliza vizuri, ni kukisambaratisha chama cha CCM au kama mwenyewe anavyo sema kuleta mpasuko ndani ya CCM. Lakini
kwa hivi sasa jinsi hali inavyo onekana, bila mpasuko wa CCM hakuna mgombea hata mmoja yukonkwenye position ya kukishinda chama cha mapinduzi, hata angekusanya watu kiasingani kwenye kampeni yake ya uchaguzi, anaweza sema eti atashinda uchaguzi wa 2020 zidi ya CCM. Huo ni uongo wa hali ya juu. Watu watakao kuwa wanawaza hivi nafikiri wanaota njozi za mchana.
 
Ila anaonekana kachoka sana katibu wetu
 
Hivi kwa wajuzi wa mambo kwenye hayo mahojiano Zuhura kaonekana kuogopa kitu? Na kama kaogopa atakuwa kaogopa nini?
Kaogopa kuzalilishwa maana Yale majamaa hayachelewi kusema "na ndio maana tunataka wewe binti mweupe mzuri uje uolewe huku na wazalendo"
 
Back
Top Bottom