hivi kati ya alikiba na wewe nani mzembe jamaa yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
huu ushabiki wenu imekuwa burudani kwa baadhi yetu humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si uende tu xxxMkuu naomba msaada kupata link ya hilo group la Spartacus
mkuusamahani kma nimekukwaza,nimetoka kanisani ijumaa kuu,amani itawale nimefuta comment zanguNmemjibu alocoment,ulopanic n ww coz hakuwa yako bt ngoja nikupe kidogo na ww...kwanza huyo video queen siyo dadangu ni mdangaji tu wa mjini na hizo ndo shughuli zake ila mlivyo na tabia za kichoko kama nilivyosema alivyokuwa na chibu mlimsifia now katoka mnamponda hizo ni dalili za UCHOKO kama nlivyosema juu,pili naona umeumiaaaaaa na comment yangu kwa choko mwenzio ukaamua uniletee na mm UCHOKO pole me sifiri machoko maji nataka choko classic kama yule aloandika UCHOKO pale juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na group unapata vitu zenye ziko updated.Si uende tu xxx
AkikuunganishaUkiwa na group unapata vitu zenye ziko updated.
Usijali mkuu nasubiria kwa hamu hiyo link.Akikuunganisha
Naomba nitupie link pm
Dah mzee baba dah hahahhahahahahahahahaHayo ya Wasafi Tutaongea baadaye!
Mkuu Yaani Una group kabisa kwa Ajili ya Kujadili ya Spartacus?
Hii ni code au Saprtacus ile movie ya watu kuchinjana? Aisew ukipata shareMkuu naomba msaada kupata link ya hilo group la Spartacus
Hi inaonesha wakilala na kuamka Wana muwaza Sana diamond kiufupi diamond kakaa kwenye akili zao kuliko kitu kingine.Hahahaha unajua kati ya mambo magumu na ya maajabu kabisa ni kuwa Mshabiki wa Mfalme Helode!
Yani yeye hana anachojua zaidi ya kutoa lawama kwa Diamond!
Kwanini watu wasitafute msaada na kuuliza sababu za views kushuka? Hiv Diamond na group lake wanapata faida gani kupinguza views za Alikiba!
Hakika hakuna ujinga umekuwa mgumu kuwatoka watu wa kiba na Alikiba kama huu ujinga wa kumlaumu Diamond kwa kila jambo!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Usijali mkuuHii ni code au Saprtacus ile movie ya watu kuchinjana? Aisew ukipata share
mimi sijaona mahali diamond katajwa kisababisha views kushuka,au ndio kiwashwa jamani.Hahahaha unajua kati ya mambo magumu na ya maajabu kabisa ni kuwa Mshabiki wa Mfalme Helode!
Yani yeye hana anachojua zaidi ya kutoa lawama kwa Diamond!
Kwanini watu wasitafute msaada na kuuliza sababu za views kushuka? Hiv Diamond na group lake wanapata faida gani kupinguza views za Alikiba!
Hakika hakuna ujinga umekuwa mgumu kuwatoka watu wa kiba na Alikiba kama huu ujinga wa kumlaumu Diamond kwa kila jambo!
Sent from my iPhone using Tapatalk
diamond anawazwa na wapenzi wake kama wewe na akina juma lokole.hamna mtu busy na mambo yake atamuwaza.Hi inaonesha wakilala na kuamka Wana muwaza Sana diamond kiufupi diamond kakaa kwenye akili zao kuliko kitu kingine.
Kwani kingi anashindwa nini huko ITNaona Wcb Mnaendeleza roho mbaya Fanyeni mziki, Mmemshindwa king kwenye ndumba, Mmeamua kuwekeza kwenye Upande wa IT View attachment 1414200View attachment 1414202