Views za wimbo wa King Kiba Zashuka Youtube

Views za wimbo wa King Kiba Zashuka Youtube

Nmemjibu alocoment,ulopanic n ww coz hakuwa yako bt ngoja nikupe kidogo na ww...kwanza huyo video queen siyo dadangu ni mdangaji tu wa mjini na hizo ndo shughuli zake ila mlivyo na tabia za kichoko kama nilivyosema alivyokuwa na chibu mlimsifia now katoka mnamponda hizo ni dalili za UCHOKO kama nlivyosema juu,pili naona umeumiaaaaaa na comment yangu kwa choko mwenzio ukaamua uniletee na mm UCHOKO pole me sifiri machoko maji nataka choko classic kama yule aloandika UCHOKO pale juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuusamahani kma nimekukwaza,nimetoka kanisani ijumaa kuu,amani itawale nimefuta comment zangu
 
Hahahaha unajua kati ya mambo magumu na ya maajabu kabisa ni kuwa Mshabiki wa Mfalme Helode!

Yani yeye hana anachojua zaidi ya kutoa lawama kwa Diamond!

Kwanini watu wasitafute msaada na kuuliza sababu za views kushuka? Hiv Diamond na group lake wanapata faida gani kupinguza views za Alikiba!

Hakika hakuna ujinga umekuwa mgumu kuwatoka watu wa kiba na Alikiba kama huu ujinga wa kumlaumu Diamond kwa kila jambo!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hahahaha unajua kati ya mambo magumu na ya maajabu kabisa ni kuwa Mshabiki wa Mfalme Helode!

Yani yeye hana anachojua zaidi ya kutoa lawama kwa Diamond!

Kwanini watu wasitafute msaada na kuuliza sababu za views kushuka? Hiv Diamond na group lake wanapata faida gani kupinguza views za Alikiba!

Hakika hakuna ujinga umekuwa mgumu kuwatoka watu wa kiba na Alikiba kama huu ujinga wa kumlaumu Diamond kwa kila jambo!


Sent from my iPhone using Tapatalk
Hi inaonesha wakilala na kuamka Wana muwaza Sana diamond kiufupi diamond kakaa kwenye akili zao kuliko kitu kingine.
 
Hahahaha unajua kati ya mambo magumu na ya maajabu kabisa ni kuwa Mshabiki wa Mfalme Helode!

Yani yeye hana anachojua zaidi ya kutoa lawama kwa Diamond!

Kwanini watu wasitafute msaada na kuuliza sababu za views kushuka? Hiv Diamond na group lake wanapata faida gani kupinguza views za Alikiba!

Hakika hakuna ujinga umekuwa mgumu kuwatoka watu wa kiba na Alikiba kama huu ujinga wa kumlaumu Diamond kwa kila jambo!


Sent from my iPhone using Tapatalk
mimi sijaona mahali diamond katajwa kisababisha views kushuka,au ndio kiwashwa jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom