Hapo alipo anatamani uzi wake mwenyewe haufute ujuaji na ukiherehere umemuumbua ๐๐Dah! Kama naiona simu yako ilivyo ya moto kama pasi....utakoma kuleta huku screenshot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo alipo anatamani uzi wake mwenyewe haufute ujuaji na ukiherehere umemuumbua ๐๐Dah! Kama naiona simu yako ilivyo ya moto kama pasi....utakoma kuleta huku screenshot
Haa haa dada umeua ngoja nicheke kimya kimya ๐๐Bora kukaa single kuliko kuingia kwenye relation na mwanaume anamiliki magroup ya WhatsApp zaidi ya 10......
Inategemea Magroup ya Nini [emoji2]Bora kukaa single kuliko kuingia kwenye relation na mwanaume anamiliki magroup ya WhatsApp zaidi ya 10......
Angalia hayo magroup ya huyo jamaa me hoi ๐๐๐๐๐๐Inategemea Magroup ya Nini [emoji2]
Kwa Magroup ya jamaa Ni Tatizo hiloAngalia hayo magroup ya huyo jamaa me hoi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKwa Magroup ya jamaa Ni Tatizo hilo
Kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa .sasa mtu video queen pugi bonge la nuksi na zishuke tu zifike 1k mfyuuuu zake
Anafutia wapi access ya kufanya hivyo tumenyimwa....yan hapa ukishaandika Uzi unakuwa Mali ya JFHapo alipo anatamani uzi wake mwenyewe haufute ujuaji na ukiherehere umemuumbua ๐๐
Groups 10+ hapana kwa kweli ๐๐๐ mwanaume wa hivi nitamuogopaInategemea Magroup ya Nini [emoji2]
Mkuu nikianza kumention hapa sitamaliza
Hayo ya Wasafi Tutaongea baadaye!
Mkuu Yaani Una group kabisa kwa Ajili ya Kujadili ya Spartacus?
Unataka kusema hata mimi sina nafasi kwako!Bora kukaa single kuliko kuingia kwenye relation na mwanaume anamiliki magroup ya WhatsApp zaidi ya 10......
Duuuh.Kuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio
AiseeUnataka kusema hata mimi sina nafasi kwako!View attachment 1414651View attachment 1414652
Sent using Jamii Forums mobile app