Views za wimbo wa King Kiba Zashuka Youtube

Views za wimbo wa King Kiba Zashuka Youtube

WCB hawana uwezo wowote ule wa kuchange youtube algorithm acheni ushenzi.

Ngoja niwaeleze YouTube view count algorithm inavyofanya kazi. Kila ukifungua video youtube inajaribu kuchukua data mbalimbali kuona kama wewe in unique viewer au la, account yako uliyologin, ip address, na id zinazotambulisha machine unayotumia kama TV, laptop au simu, hizo zinaenda kwenye server zao then wanatumia hesabu tu kujaribu kuhisi kama ni view fake au halali, kama ni halali itahesabika kama ni feki haitahesabika. Kinachotokea hua ni views zinazidi kupanda kila wakati lakini kila baada ya dakika chache computer inarun kucheki views zilizohesabiwa kama zote ni halali au la inabadilisha namba.
Kuna factor nyingine pia zinazochangia kuona namba tofauti inahusika na caching an scaling ilivyo kwenye site kubwa kama Youtube hiyo ni complex topic sitoeleza hapa watu wakaelewa kama hawajasoma computer science au kua na uelewa deep wa computer.

So weka kichwani kua ukiona views zimeshuka kiasi hicho basi zile views zilikua fake YouTube wameamua kutozihesabu, tatizo sio WCB wala nani, wcb ni sisimizi kwa Google, hata google hawawatambui wcb ni akina nani, mnawaona wakubwa sana Tz ila ni nothing kwa giants kama youtube.
100/100

Huko kwenye maswala ya IP usiwapeleke manake unaweza ukajikuta umetokea IPv6.

Watu wengi hawajui hizi system zinavyofanya Nazi,kuna backup za kutosha,Redundant links,bado kuna Robots zinazofanya auditing ktk kila video,kila sekunde.

Kuna watu washazoea kulalamika ,hata uwaeleshe vp hawakuelewi cha msingi unawacha.
 
Kuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio
yaani huyu jamaa bwana sijawahi kumkubali kila siku kulia lia
 
100/100

Huko kwenye maswala ya IP usiwapeleke manake unaweza ukajikuta umetokea IPv6.

Watu wengi hawajui hizi system zinavyofanya Nazi,kuna backup za kutosha,Redundant links,bado kuna Robots zinazofanya auditing ktk kila video,kila sekunde.

Kuna watu washazoea kulalamika ,hata uwaeleshe vp hawakuelewi cha msingi unawacha.
Hua naongea mara moja mbili nikiona anaendelea kunibishia huku hata akili kichwani hana namuweka kwenye block list tu, sina muda na ujinga mimi.
 
Mkuu siku zote wanaofeli kwenye mambo yao na wakakosa ujasiri hawaishi kulialia na visingizio ili waonewe huruma....imekua desturi kwa wasanii wakifeli kuhusisha WCB kama ilivyo zamani kuwahusisha clouds Ali kiba ni mzembe miaka yote inajulikana uzuri injinia wao amefafanua vizuri kabisa na aibu zimewashukia.

Hili tukio nafananisha na mmakonde alipoenda kupiga shoo ya sayona mbeya aliomba kibali mwisho saa 4 usiku yeye akapiga mpaka saa 6 usiku polisi walipfanya kazi yao akakimbilia mtandaoni kulia lia na kuwashtumu management yake ya zamani kuwa inamfanyia fitna baadae RPC wa mbeya akamlipua na barua akaitoa aibu ikamrudia na kufuta ile post...

WCB hawana uwezo wowote ule wa kuchange youtube algorithm acheni ushenzi.

Ngoja niwaeleze YouTube view count algorithm inavyofanya kazi. Kila ukifungua video youtube inajaribu kuchukua data mbalimbali kuona kama wewe in unique viewer au la, account yako uliyologin, ip address, na id zinazotambulisha machine unayotumia kama TV, laptop au simu, hizo zinaenda kwenye server zao then wanatumia hesabu tu kujaribu kuhisi kama ni view fake au halali, kama ni halali itahesabika kama ni feki haitahesabika. Kinachotokea hua ni views zinazidi kupanda kila wakati lakini kila baada ya dakika chache computer inarun kucheki views zilizohesabiwa kama zote ni halali au la inabadilisha namba.
Kuna factor nyingine pia zinazochangia kuona namba tofauti inahusika na caching an scaling ilivyo kwenye site kubwa kama Youtube hiyo ni complex topic sitoeleza hapa watu wakaelewa kama hawajasoma computer science au kua na uelewa deep wa computer.

So weka kichwani kua ukiona views zimeshuka kiasi hicho basi zile views zilikua fake YouTube wameamua kutozihesabu, tatizo sio WCB wala nani, wcb ni sisimizi kwa Google, hata google hawawatambui wcb ni akina nani, mnawaona wakubwa sana Tz ila ni nothing kwa giants kama youtube.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio
Duh! Wewe usiyemshabikia mbona hatuoni cha maana toka kwako. Acha roho ya kichawi bwana mdogo!
 
92353070_871980003322966_3215638022570626674_n.jpg

92219006_2656276197991325_775583801253773326_n.jpg
 
Nmemjibu alocoment,ulopanic n ww coz hakuwa yako bt ngoja nikupe kidogo na ww...kwanza huyo video queen siyo dadangu ni mdangaji tu wa mjini na hizo ndo shughuli zake ila mlivyo na tabia za kichoko kama nilivyosema alivyokuwa na chibu mlimsifia now katoka mnamponda hizo ni dalili za UCHOKO kama nlivyosema juu,pili naona umeumiaaaaaa na comment yangu kwa choko mwenzio ukaamua uniletee na mm UCHOKO pole me sifiri machoko maji nataka choko classic kama yule aloandika UCHOKO pale juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu siku zote wanaofeli kwenye mambo yao na wakakosa ujasiri hawaishi kulialia na visingizio ili waonewe huruma....imekua desturi kwa wasanii wakifeli kuhusisha WCB kama ilivyo zamani kuwahusisha clouds Ali kiba ni mzembe miaka yote inajulikana uzuri injinia wao amefafanua vizuri kabisa na aibu zimewashukia.

Hili tukio nafananisha na mmakonde alipoenda kupiga shoo ya sayona mbeya aliomba kibali mwisho saa 4 usiku yeye akapiga mpaka saa 6 usiku polisi walipfanya kazi yao akakimbilia mtandaoni kulia lia na kuwashtumu management yake ya zamani kuwa inamfanyia fitna baadae RPC wa mbeya akamlipua na barua akaitoa aibu ikamrudia na kufuta ile post...



Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kati ya alikiba na wewe nani mzembe jamaa yangu[emoji23][emoji23][emoji23]

huu ushabiki wenu imekuwa burudani kwa baadhi yetu humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa una magroup 21.. Jamaa si bure atakuwa alikiba ananunua bando si bure halafu unatuaibisha wanaume magroup mengi kama mdada aaah... Ndio maana Mods wanafuta nyuzi zako kila kukicha alikiba mara harmonize. Hata kama hupendi WCB jamaa una ushabiki mandazi..
Unahitaji msaada wa haraka kapime mkojo na damu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom