Vifaranga vya broiler vimekuwa taabu sana kupatikana, nifanye nini?

Vifaranga vya broiler vimekuwa taabu sana kupatikana, nifanye nini?

Nachoona Ni kuacha tu kufuga broiler ,niongezee ngombe wa maziwa maana , vifaranga ununue 2300 chakula wastani mfuko Ni 64,500 haya uje uuze 5500/5800
Tungekuwa na umoja tungepandisha Bei walau 6000 /6100

Najiuliza kwanini tulanguliwe na wakala kiasi hicho yaani yeye apate sh 500 kwa kila kifaranga ?? Kwa mtaji wa mteja ?

Maana pesa unampa cash anakataka zake zingene analipa kwa kampuni alafu anakuambia subiria siku ya kuchukua
Biashara ya kuku wengi wameacha maana ni hasara tupu ukiwa mfugaji
 
Mkuu interchiki nimepiga simu Jana tu wakasema nilipie 40% kuvipata Hadi 08/11/2021 Sasa pesa niliyonayo siwezi kuiweka huko kwa almost nusu mwaka huo na pia kwa muda huo nitaishije?

Raha ya kufuga ulipia walau week moja upate mzigo
Mpaka mwezi wa kumi na Moja simuanze kuagiza nje hao vifaranga?
 
Hili tangazo nililiona humu, sijui litawafaa ndg wafugaji...

Marire AbouZakariya Bushmamy Zeus1 Countrywide

Screenshot_20210621-120234.png


Screenshot_20210621-120224.png
 
Hawauzi kwa watu wasioeleweka! Labda uende kama kampuni kwenye utaratibu maalum nao!
Unakiuka msg yako ya mwanzo ,hata wewe ukienda watakupa utaratibu wa kulipia na siku haouna oda nyingi unaweza kulipa na kupewa the same week ,hawana Cha wewe Ni Nani ,wanaangalia pesa tu
 
Baada ya kufuatilia kwa baadhi ya wajuzi wanasema broiler akitunzwa vizuri mpaka kufikia miezi 5/6 anaweza kutaga mayai ambayo akiwekwa na dume yanaweza kuanguliwa na vikapatikana vifaranga vya broiler, mi naona huku twendako tutazalisha vifaranga na chakula tutatengeneza wenyewe, au nasema uongo ndugu zangu!, tujitegemee tuachane na utegemezi.......in mzee voice.
 
Nitakuchangia kila nikiwa nachukua broiler nachanganya na hao wa kwako kidogo nimejaribu Mara hii vimefanya vizuri . Nikija kuuza broiler hivyo naamishia Banda lingine
Mkuu sio Mimi muhusika... Hili tangazo lipo humu, nimeona nilisogeze kwenu kama lita wafaa...

Sihusiani na huyo jamaa muuzaji kwa namna yoyote ile...
 
Mkuu sio Mimi muhusika... Hili tangazo lipo humu, nimeona nilisogeze kwenu kama lita wafaa...

Sihusiani na huyo jamaa muuzaji kwa namna yoyote ile...
Sawa Kiongozi umemfanyia Jambo jema
 
Baada ya kufuatilia kwa baadhi ya wajuzi wanasema broiler akitunzwa vizuri mpaka kufikia miezi 5/6 anaweza kutaga mayai ambayo akiwekwa na dume yanaweza kuanguliwa na vikapatikana vifaranga vya broiler, mi naona huku twendako tutazalisha vifaranga na chakula tutatengeneza wenyewe, au nasema uongo ndugu zangu!, tujitegemee tuachane na utegemezi.......in mzee voice.
Uko sahihi kabisa mkuu,ni kweli broiler anaweza akataga
 
Back
Top Bottom