Vifo 6 vya Bodaboda vinavyodaiwa kutokea kwenye Mashindano Arusha ni uzembe mkubwa sana, Waandaaji wanapaswa kuwajibishwa

Vifo 6 vya Bodaboda vinavyodaiwa kutokea kwenye Mashindano Arusha ni uzembe mkubwa sana, Waandaaji wanapaswa kuwajibishwa

Kifupi Lema anazidi kujiharibia Arusha sababu watu wakijua kuwa wale hawajafia kwenye mashindano credibility yake Arusha inakufa

Uzuri waliokufa ni boda boda hivyo taarifa za uongo wake zitasambaa haraka vijiwe vya bodaboda vyote Arusha kwa spidi ya mwewe na yeye bodaboda kutokuwa na imani naye kwa uongo wake
Pamoja na kwamba kijiografia Arusha ni moja ya majiji yenye uchumi mkubwa hapa Tanzania lakini watu wake ni WASHAMBA sana.

Kuna hii kitu inaitwa WADUDU halafu unakuta wananchi mpaka Mkuu wa Mkoa anatambua UCHAFU kama huu Stupid.

Siwasikitii hao waliokufa kwa vile ni WAPUMBAVU!! Unaanzaje kuingia mashindano ya pikipiki kwa kutumia low quality motorbike kama Toyo, Boxer au TVS??

ARUSHA acheni ushamba
 
Pamoja na kwamba kijiografia Arusha ni moja ya majiji yenye uchumi mkubwa hapa Tanzania lakini watu wake ni WASHAMBA sana.

Kuna hii kitu inaitwa WADUDU halafu unakuta wananchi mpaka Mkuu wa Mkoa anatambua UCHAFU kama huu Stupid.

Siwasikitii hao waliokufa kwa vile ni WAPUMBAVU!! Unaanzaje kuingia mashindano ya pikipiki kwa kutumia low quality motorbike kama Toyo, Boxer au TVS??

ARUSHA acheni ushamba
Hizo pikipiki low quality hazikuingia mashindano tafadhali

Kwenye mashindano kulikuwa na pikpiki high quality

Hao waliokufa ni bodaboda wenye pikipiki zisizo za mashindano na walifia huko mjini wakiendesha tuu uchizi barabarani
 
Mimi nafikiri Watanzania wanaomuamini huyu Zerobrain BASHITE ndiyo wapumbavu. Waache waendelee kutumika. Mtu aliyeshindwa hata kupata D mbili kwenye NECTA hawezi kuwa na fikra chanya.

Ukiangalia tu sura ya Bashite na alivyojaza msambwanda hakuna namna anaweza kuwa na akili kichwani.View attachment 3044114
Too personal mkuu.
Makonda hakuandaa hayo mashindano, ameyatumia tu kwa faida zake za kisiasa.
Mashindano yapo miaka na mika, huwa yanafanyika kila mwaka Arusha na Moshi.
Ajali iliyotokea kwenye mashindano ni moja tu, bike kukatika stealing na mhusika hakuumia popote na kesho yake akapewa bike mpya.

Lema analeta siasa tu, ila hata yeye ukweli anaujua.
 
Hizo pikipiki low quality hazikuingia mashindano tafadhali

Kwenye mashindano kulikuwa na pikpiki high quality

Hao waliokufa ni bodaboda wenye pikipiki zisizo za mashindano na walifia huko mjini wakiendesha tuu uchizi barabarani
Asante kwa kutufumbua macho
 
Too personal mkuu.
Makonda hakuandaa hayo mashindano, ameyatumia tu kwa faida zake za kisiasa.
Mashindano yapo miaka na mika, huwa yanafanyika kila mwaka Arusha na Moshi.
Ajali iliyotokea kwenye mashindano ni moja tu, bike kukatika stealing na mhusika hakuumia popote na kesho yake akapewa bike mpya.

Lema analeta siasa tu, ila hata yeye ukweli anaujua.
Wewe unampinga Lema? Kwa authority ipi? Au na wewe ni kati ya wale vijana wanalipwa ujira na Bashite kumpamba kwenye mitandao ya jamii?
 
Hizo pikipiki low quality hazikuingia mashindano tafadhali

Kwenye mashindano kulikuwa na pikpiki high quality

Hao waliokufa ni bodaboda wenye pikipiki zisizo za mashindano na walifia huko mjini wakiendesha tuu uchizi barabarani
Lema ni muongo.
Kawajumlisha boda boda waliochomwa moto kwa tuhuma za kukwapua pochi za watu, wako 4 na wale wadudu waliogongana ndio katengeneza habari.
 
Mashindano ya rally yanahitaji mafunzo ya kutosha ikiwemo upimaji wa afya za washindani.
Wazo lilikuwa zuri, siku zijazo wasiokoteze vijana mitaani.
Mbona kama walipata ajali barabarani na sio kule lakilaki?? Yani vijana walipotoka kule wakaanza kuigiza kama wale washindani wenye mapikipiki makubwa na walikuwa washatupia mirungi na pombe bas wakapata ajali. Wahimizwe kuvaa kofia ngumu
 
Mbona kama walipata ajali barabarani na sio kule lakilaki?? Yani vijana walipotoka kule wakaanza kuigiza kama wale washindani wenye mapikipiki makubwa na walikuwa washatupia mirungi na pombe bas wakapata ajali. Wahimizwe kuvaa kofia ngumu
Mtu aliewahi kufika Arusha hawezi kushangaa michezo ya pikipiki, inafanyika hadharani bila tahadhari yoyote. Vifo vya bodaboda kwa Arusha ni kila siku
 
Huyu makonda kaja kupiga lubricant,lema anaweweseka sana kiufupi arusha ni ndoto kwake ,wakina mama hawamuelewi hata bodaboda hawamueli na walikuwa wapiga kura wake
 
Walahi niliposikia mashindano ya Pikipiki nilidhani zile za 1000cc na waendeshaji wamejiandaa haswa

Kumbe jamaa kaandaa kutoa kafara
Masikini hawa kutafuta ugali wao tu wanatukanwa
Sasa wakaamua kusikiliza upumbavu huo wa mashetani
 
Huwa nasema kila siku humu, CCM mtaji wao mkuu namba moja ni Ujinga wa hili taifa na pili na umasikini.

Bodaboda ni watu wanatumika kisiasa sana na kwa sababu ya kiwango chao cha juu cha ujinga walicho nacho hawajui kama wanatumika kiasiasa.

Kule Arusha jumapili kulikuwa na mashindano ya Pikipiki, na inaaminika Bodaboda 6 wamefariki kwwnye hayo mashindano hao ni kuacha walio Mount Meru Hospital kwa sasa wakiwa wamevunjika vunjika miguu.

Ila tukirudi kwenye Uhalisia je BODA BODA ZILE TOYO NI PIKIPIKI ZA MSHINDANO? hapa tu Africa kuna nchi hizi Toyo haziruhusiwi make hazina hata quality ya kubeba binadamu na kuwepo barabarani.

Kwa sababu sisi ni Taifa la wajinga tumezigezua kuwa ni mtaji wa kisiasa na ndio maana zinachinja watu daily.

Kama kuchinja watu barabarani hakutoshi sasa wakina Makonda wameamua kuzitumia kwenye mashindano ya pikipiki kutafuta mailage.

Ujinga na Umasikini vitaendelea kuwa mitaji ya wana CCM kwa muda mrefu sana

Kwenye utawala wa Sheria waandaaji wa hayo mashindano walipaswa kuwa ndani kwa sasa ila hilo haliwezekani Tanzania hii ya wajinga.

Chanzo: Nipashe
Jinai haina ukomo, lile tapeli Mwwamposa nae likamatwe kwa kuua watu 21 mwaka 2021, au sababu kiongozi wa dini wa kigalatia ndio maana hakushtakiwa
 
Back
Top Bottom