Siku zilikuwa zimefika kapigwa na wanamgambo wasio na mafunzo yoyote yeye akiwa Marshal.Huyo alijitakia mwenyewe kifo. Unatawala kidikteta kwa miaka 30, unafanya uchaguzi wa maigizo na kujitangazia ushindi kibabe, una maadui kibao wa ndani, bado unakwenda battlefront kufuata nini?
Mwanakulitafuta mwanakulipata
Ameacha Legacy.....mataga.Wengi ukifuatilia wanakua ni madikteta...
Sasa kama huyo Deby anaongoza mihula 6 pekeyake !
Unataka kusema hakuna wengine zaidi yake na wenye mawazo mbadala?
Wacha wateketeee hao mafala madikteta yameua watu wengi sana huko Chadi wakishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalam vya Chadi.Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Tumuombe Mungu ili iweje! Kwenda zako, sina huo muda. Lugha ya uswazi, mtajiju!Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
kakariri huyo msamehe bureManeno gani haya?
Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Unashangaa nini,Maneno gani haya?
Unashangaa nini, mbona wao wanaua wenzao?
unashangaa mtu kuuwawa akiwa battle front?Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
battlefront unaifahamu man ? ule ni uwanja wa vita.. everybody is firing at somebody.Wanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
Nilivyoona unajiita Detective J nikajua umepitia masuala ya usalama. Kumbe ni mropokaji tu. Rais mpaka anakwenda battle front bila tathimini ya kiusalama?unashangaa mtu kuuwawa akiwa battle front?
man front line si sehem ya mchezo aisee, bullet doesnt choose rank..
angefuatilia kaa karib mapambano without kwenda frontline, probably angekuwa alive.
aliji expose amekuwa hit. kafa kama askari wengine wanaokuwa front.
am sorry to say hapa hamna utata. you reap what you sow.
Ona sasa unaandika kama unatapika.battlefront unaifahamu man ? ule ni uwanja wa vita.. everybody is firing at somebody.
huyu asingetakiwa kukanyaga huko at first time.. akifuata nini?
Kama sio vya kujadili umepost kutafuta nini?Hivi kifo nacho ni kitu cha kuanza kujadiana? Nani asiyekufa? Hawa waafrika waanze kutimiza wajibu wao. Wanaishi kama Hakuna kufa. Wamekufa wanafikiria the world cares
Ahaaa, mwanae kafanya mchongo ili amrithi?Inaonekana ni mwanae, lakini wacha wafe huyo Derby nchi ina gesi mafuta, lakini fedha zote anaweka Ulaya Nchi ni masikini wa kutupa
JPMAngalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Hao madikteta acha wafe tu,na badoAngalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Wit acha zako, mambo vipi lakini?Lile zee hadi usoni linaonesha katili mfyuuu