Vifo vingi vya Marais wa Kiafrika vinatia mashaka

Vifo vingi vya Marais wa Kiafrika vinatia mashaka

Huyo rais wa Chad alikua anaenda vitani frontline kwa sababu zake binafsi za kubaki madarakani hatabaada ya kuiongoza nchi hiyo kwa takribani miaka 30, Bado alikua hataki kuondoka madarakani
maana karibu serikali yote amewachomeka vibaraka wake hali inayosababisha nchi isitawalike, alichokipata ni ushindi kwa raia walio wengi nchini Chad.
 
Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza. Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.

Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa Kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.

Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.

Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlefront taarifa kamili za kiusalama?

Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Is obvious,
Vifo lazima viwe vya mashaka coz nao wanatawalamkwa mashaka.
Alioandalo mtu ndilo atakalolivuna!
 
Back
Top Bottom