Vifo vingi vya Marais wa Kiafrika vinatia mashaka

Hakuna mtu katika ulimwengu wa kibinadamu aliyewahi kufanikiwa bila kufuata upepo wa kisiasa. Lakini sikushangai, inawezekana nimeongea kwa context iliyo nje na upepo wako wa kuelewa.
Inaonekana wewe ni team kujipendekeza. Hata hivyo mafanikio yatokanayo na kulamba miguu ya binadamu mwenzako ni ya KIFALA SANA.
 
Kuna vifo vya baadhi ya watu ni majibu ya vilio vya wengi walio mlilia Mungu
Labda kama unamaanisha Vilio vya Magaidi ambao walikuwa wanamhara kweli kweli! Usisahau Chad ina tishio kubwa la ugaidi, na Idris Deby na mwanae walikuwa mara kwa mara wanaenda wenyewe mstari wa mbele kupambana na magaidi, na sio kuwaacha wanajeshi wengine pekee ndio waende vitani.
 

Umemsahau Nyerere alikufa kwa maradhi gani!! Na yalimtesa kwa muda gani?

Raisi wa zenji pia.. ..Amani abeid karume!
 
Wengi ukifuatilia wanakua ni madikteta...

Sasa kama huyo Deby anaongoza mihula 6 pekeyake !

Unataka kusema hakuna wengine zaidi yake na wenye mawazo mbadala?
Mwingine unakuta uongoz wa chama anakomaa miaka zaid ya ishirin sasa akipewa nchi atatoka kweli
 
The Mega-fool foolishly died of Covid-19, though his close circle have blanketed it with the failure of pacemaker.
Jamaa umeandika kwa hisia Kali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tumuombe Mungu ili iweje! Kwenda zako, sina huo muda. Lugha ya uswazi, mtajiju!
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubarikiwe sana mtumishi siku hizi tunaishi kwa amani sana ashukuriwe baba yetu wa mbinguni kutuondolea muuaji na mtesaji
 
Hili TAGA linalopoka mimavi mitupu aisee [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…