Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Jeshi la Israel linakubali kuondolewa kwa afisa, wikendi hii, na mwingine ambaye alifariki kutokana na majeraha yake kutokana na mapigano ya awali:

Mwalimu Sgt. (res.) Constantine Sushko, 30, wa Kikosi cha 7086 cha Combat Engineering Corps.

🔻Cpt. Harel Ittah, 22, kamanda wa timu katika kitengo cha upelelezi cha Brigade ya Givati.

Sushko aliuawa katikati mwa Gaza mwishoni mwa juma, wakati wa vita vilivyomjeruhi vibaya askari mwingine wa akiba.

Ittah alijeruhiwa vibaya mnamo Desemba 22 kusini mwa Gaza, na kufariki dunia kutokana na majeraha yake mwishoni mwa juma.


View: https://x.com/aryjeay/status/1741137865629733331?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
hizo unazoleta ni porojo usilete maelezo ya kwenye madaftari leta maelezo ambayo ni real life ya sasa sio eti fulani mwakani ndo ataanza kua tajiri kama utajiri ndo uko hivo basi sisi bara la africa hakuna aliyetuzidi kwa utajiri mana hakuna bara ambalo lina rasilimali kama africa
Hakuna porojo ya kwenye daftari nimekupa fact
Yemen ataanza kuuza mafuta nje mwakani kama mkataba na saudia utafikiwa January
Haya nyie mna mkataba upi wamaana wakuwafanya muingize mabilioni ya dola mwakani
 
The "Qassam Brigades" blew up 3 tanks of the Israeli forces. In one of the battles, 20 occupation soldiers were killed and wounded. In another case, several soldiers were killed when the house they were in was blown up
 
Hakuna porojo ya kwenye daftari nimekupa fact
Yemen ataanza kuuza mafuta nje mwakani kama mkataba na saudia utafikiwa January
Haya nyie mna mkataba upi wamaana wakuwafanya muingize mabilioni ya dola mwakani
mambo ya mwakani ni porojo hizo ata sisi tutaanza kuuza gesi mwakani
 
Mkitaka watu na watoto wasio na hatia wasife basi wambieni hao panya wa mashimoji wajitenge na hao wahanga na wapigane bila kujificha nyuma ya raia wasio na hatia.
Kifo au vifo vya wanajeshi vitani sio kitu cha kuhoji, vita sio ngono ndio maana ikaitwa vita.
KATIKA HAO RAIA WALIOUAWA UN REPORTS INAONESHA HAKUNA SILAHA WALA MWANAHAMAS ALOKUTWA KATI YAO.
HIVI UPIGE BOMU UKIDAI KUNA MAADUI NYUMA YA RAIA NA USIPATE MWILI WALA SILAHA YA ADUI HIYO INAWEZEKANAJE??
 
Back
Top Bottom