Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #261
Wanamgambo wa Israel walikwa wanajua wakifika Gaza watakitana na vita Hamas wawe upande wa pili wao wawe upande wa pili wawashambilie juu ndege chini vifaru, wamefika Gaza hawawaoni Hamas na hivi wameharibu miondombinu basi wanakuwa wanavuziwa tu wanachezea kichapo wanavunjika miguu wanaita elikopta😂
View: https://x.com/huss_flamed/status/1740835312333689187?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/huss_flamed/status/1740835312333689187?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw