Hawa Jamaa wana ROHO ngumu mnoo... na wanaijua vita
Hakuna porojo ya kwenye daftari nimekupa facthizo unazoleta ni porojo usilete maelezo ya kwenye madaftari leta maelezo ambayo ni real life ya sasa sio eti fulani mwakani ndo ataanza kua tajiri kama utajiri ndo uko hivo basi sisi bara la africa hakuna aliyetuzidi kwa utajiri mana hakuna bara ambalo lina rasilimali kama africa
mambo ya mwakani ni porojo hizo ata sisi tutaanza kuuza gesi mwakaniHakuna porojo ya kwenye daftari nimekupa fact
Yemen ataanza kuuza mafuta nje mwakani kama mkataba na saudia utafikiwa January
Haya nyie mna mkataba upi wamaana wakuwafanya muingize mabilioni ya dola mwakani
Tuwape muda gani mkianza kuuza mutakua kama yemen yasasamambo ya mwakani ni porojo hizo ata sisi tutaanza kuuza gesi mwakani
We unajihangaisha Bure.
πππππππππππππ
Ripoti hii ndio haina mashiko kabisa uongo mtupu.
KATIKA HAO RAIA WALIOUAWA UN REPORTS INAONESHA HAKUNA SILAHA WALA MWANAHAMAS ALOKUTWA KATI YAO.Mkitaka watu na watoto wasio na hatia wasife basi wambieni hao panya wa mashimoji wajitenge na hao wahanga na wapigane bila kujificha nyuma ya raia wasio na hatia.
Kifo au vifo vya wanajeshi vitani sio kitu cha kuhoji, vita sio ngono ndio maana ikaitwa vita.
πππππππππππππ
WE Jamaaa USA wenyewe wamewashushua Mossad wanapotosha taarifa we let taarifa zako uchwara zisizo na mashiko
Ripoti hii ndio haina mashiko kabisa uongo mtupu.
Iran hajawahi ku launch drone attack Toka kwake directly huwa anatumia Syria,Lebanon au Iraq
Natizama aljazeera hapa English huku nikihama na France 24 English.
Habari unayo ukimaliza huko angalia na hizi πππNatizama aljazeera hapa English huku nikihama na France 24 English.
Khan Younis ni intensification ya mashambulizi tu iliyofanyika ila hakuna kitu Cha Hamas kilichokamatwa.
Tizama aljazeera asahivi .Habari unayo ukimaliza huko angalia na hizi πππ
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1741455237863399510?s=19
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1741456741328400891?t=DHVFjaKYjGIw8iP5GjoCJA&s=19
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1741459280618738168?t=WQ_-1dKIsLs28jYbj7wUNQ&s=19
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1741459910544482658?t=wNCHJ0pyekwC1Q8pAwKvaA&s=19
Sina muda na al jazeera habar iko kiganjani kwangu ghawha njemaTizama aljazeera asahivi .
Wanajeshi was Israel wengine wanaripotiwa kuuliwa.
Sikeshi Twitter kama we kijana
Pole Yako endelea kutizama fabricated news.Sina muda na al jazeera habar iko kiganjani kwangu ghawha njema
habari za oct 7 first time zilivujia x acha kujitoa ufahamu mvaa kobadhiPole Yako endelea kutizama fabricated news.
Watu wazima kama sisi hutizama habari za uhakika.
Pipi njema