Vifo vya ghafla vya Lemtuz na Membe, naanza kuunganisha nukta!

Vifo vya ghafla vya Lemtuz na Membe, naanza kuunganisha nukta!

Kipindi hiki cha miezi ya May hadi Julai ni vyema kuchukua tahadhari hasa wazee na watoto wachanga kwani baridi huwa huamsha virusi pia kuna kuwa na mafua makali.
 
Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla hasa kipindi hiki ambacho baridi imenza kukolea.

Kwa mujibu wa dakatari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa. Na kama tujuavyo, virusi huwa active sana wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.

Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).

Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.

Nawasilisha.
Unaposema Lemutuz una maana William Malecela aliyekuwa New York?
 
Lemetuz si ameumwa hadi kulazwa mara kwa mara mkuu. Unataka kusema nini.

Kama unadai membe kafa kwa hivyi virusi unahisi membe hakuwai kupata chanjo zote stahiki.

Kifo ni kifo ata hivyo miaka 60+ inatosha kuishi
Muonekano wake, kama ningekuwa mimi ningetafuta amani na Muumba. Sikio la kufa huwa halisikii dawa. Na mwenye macho haambiwi tazama
 
Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea.

View attachment 2621414

Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao)

Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.

Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).

Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.

Nawasilisha.
jilock down mkuu.. msitusumbue.
 
ACHA UONGO BHANA, VIRUSI WAPI BHANA WEWE...

HAKUNA CHA COVID WALA NINI....

ACHENI KUWAPA WATU MIPRESSURE


Check TBC1 kuagwa kwà BM, viongozi hawajavaa yale madaso ya kuzibia pua na mdomo. Meaning Hakuna Covid

USITUTISHE BHANA!!! MPUUZI MMOJA UMEJAA MI U.T.I UNAINGIA HUMU JF KUANZISHA THREAD ZA KUTISHA WATU!!!

JIHESHIMU BHANA!!

ASEE MODS EEH,..FUTENI HILI LI UZI LAKE! HUYU JAMAA NI KIAZI SANA!!!
Mimi niewashauri watanzania wachukue tahadhari za kiafya. Kama wewe unaishi Ulaya, tulize mshono sisi tunaoishi Tanzania tujilinde.
 
Pamoja na hilo, kufuatia uzoefu wa 2019, virusi huwaathiri zaidi watu wenye matatizo kama hayo.
Wewe ni daktari………?……..ili nijue nakuchukulia serious kwenye angle gani……..
 
Haya mambo yanifikirisha sana...
Sasa kama Covid 19 ipo, mbona waombolezaji hawajavaa mask????
Au kusema wote hapo wana chanjo????
 
Kutunza afya zetu ni muhimu, lakini mwisho Kifo ni kifo boss, yaweza kua ni upepo tuu kama wanavyoongozana kwenye familia mda mwingne au mtaani.
What do you mean by saying ''kifo ni kifo tu''! Kwani amesema kifo siyo kifo? Au amesema kuna kifo ni kifo, na kuna kifo kisio kifo? Yeye kasema tuchukuwe tahadhari.
 
Back
Top Bottom