Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka magufuri aliwahi kusema barozi maige alikua mgonjwa wa mda mrefu .Akasema wa tz tuwe na amani mwisho wa siku naye akatangulia bado wakasema naye alikua mgonjwa wa mda mrefuhakuna cha Taadhari wala hamna corona. hawa walikuwa wagonjwa kwa nyakati tofauti. acha kuwatia hofu watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka kuleta tension ambayo haina msingiShangaa wakifa maarufu wanaona ajabu wakati huku mtaan kila siku wanakufa
Unaposema Lemutuz una maana William Malecela aliyekuwa New York?Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla hasa kipindi hiki ambacho baridi imenza kukolea.
Kwa mujibu wa dakatari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa. Na kama tujuavyo, virusi huwa active sana wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.
Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).
Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.
Nawasilisha.
Wapumzike kwa amaniNdio maana sipendagi kupiga picha na watu, maana akifa tu naanza kuwaza mengiView attachment 2621406
Muonekano wake, kama ningekuwa mimi ningetafuta amani na Muumba. Sikio la kufa huwa halisikii dawa. Na mwenye macho haambiwi tazamaLemetuz si ameumwa hadi kulazwa mara kwa mara mkuu. Unataka kusema nini.
Kama unadai membe kafa kwa hivyi virusi unahisi membe hakuwai kupata chanjo zote stahiki.
Kifo ni kifo ata hivyo miaka 60+ inatosha kuishi
Huyo mwingine ni yule MCHUNGAJI?
jilock down mkuu.. msitusumbue.Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea.
View attachment 2621414
Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao)
Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.
Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).
Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.
Nawasilisha.
Nadhani ni yule wa KaweHuyo mwingine ni yule MCHUNGAJI?
Mimi niewashauri watanzania wachukue tahadhari za kiafya. Kama wewe unaishi Ulaya, tulize mshono sisi tunaoishi Tanzania tujilinde.ACHA UONGO BHANA, VIRUSI WAPI BHANA WEWE...
HAKUNA CHA COVID WALA NINI....
ACHENI KUWAPA WATU MIPRESSURE
Check TBC1 kuagwa kwà BM, viongozi hawajavaa yale madaso ya kuzibia pua na mdomo. Meaning Hakuna Covid
USITUTISHE BHANA!!! MPUUZI MMOJA UMEJAA MI U.T.I UNAINGIA HUMU JF KUANZISHA THREAD ZA KUTISHA WATU!!!
JIHESHIMU BHANA!!
ASEE MODS EEH,..FUTENI HILI LI UZI LAKE! HUYU JAMAA NI KIAZI SANA!!!
Asisahau kuvaa barakoa, na kujipakaza santaiza🐒jiock down mkuu.. msitusumbue.
Wewe ni daktari………?……..ili nijue nakuchukulia serious kwenye angle gani……..Pamoja na hilo, kufuatia uzoefu wa 2019, virusi huwaathiri zaidi watu wenye matatizo kama hayo.
What do you mean by saying ''kifo ni kifo tu''! Kwani amesema kifo siyo kifo? Au amesema kuna kifo ni kifo, na kuna kifo kisio kifo? Yeye kasema tuchukuwe tahadhari.Kutunza afya zetu ni muhimu, lakini mwisho Kifo ni kifo boss, yaweza kua ni upepo tuu kama wanavyoongozana kwenye familia mda mwingne au mtaani.
BTW mask ni sehemu ndogo sana ya kujinga na covid. Tunatakiwa kuchukuwa ''package'' ya tahadhari.Haya mambo yanifikirisha sana...
Sasa kama Covid 19 ipo, mbona waombolezaji hawajavaa mask????
Au kusema wote hapo wana chanjo????