Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu kwanza………hapa tunaongelea cowid au pindupindu………….?……..Kama unasubiri daktari ndiye aje kukumbusha kunawa mikono kabla ya kula, kutojisaidia vichakani, kula mlo kamili na kwenda hospitali unapohisi unaumwa, basi subiri hapo hapo ulipo aje kutekeleza wajibu wake.
Amkeni kimeuna hukooooo! Kiko wapi sasa? Lazima wanafiq waaibike mwaka huu.Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.