Vifo vya ghafla vya Lemtuz na Membe, naanza kuunganisha nukta!

Vifo vya ghafla vya Lemtuz na Membe, naanza kuunganisha nukta!

Nakumbuka magufuri aliwahi kusema barozi maige alikua mgonjwa wa mda mrefu .Akasema wa tz tuwe na amani mwisho wa siku naye akatangulia bado wakasema naye alikua mgonjwa wa mda mrefu
Afdhali wewe umeunganisha nukta vizuri mkuu. Wengine bado ni matomaso. Mpaka yawakute wao wenyewe au watu wa familia zao ndipo wagutuke.
 
Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea.

View attachment 2621414

Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao)

Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.

Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).

Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.

Nawasilisha.
Wote wamechanjwa
 
Wewe ni daktari………?……..ili nijue nakuchukulia serious kwenye angle gani……..
Kama unasubiri daktari ndiye aje kukumbusha kunawa mikono kabla ya kula, kutojisaidia vichakani, kula mlo kamili na kwenda hospitali unapohisi unaumwa, basi subiri hapo hapo ulipo aje kutekeleza wajibu wake.
 
ACHA UONGO BHANA, VIRUSI WAPI BHANA WEWE...

HAKUNA CHA COVID WALA NINI....

ACHENI KUWAPA WATU MIPRESSURE


Check TBC1 kuagwa kwà BM, viongozi hawajavaa yale madaso ya kuzibia pua na mdomo. Meaning Hakuna Covid

USITUTISHE BHANA!!! MPUUZI MMOJA UMEJAA MI U.T.I UNAINGIA HUMU JF KUANZISHA THREAD ZA KUTISHA WATU!!!

JIHESHIMU BHANA!!

ASEE MODS EEH,..FUTENI HILI LI UZI LAKE! HUYU JAMAA NI KIAZI SANA!!!
Wanakaza fuvu hao viongozi. Corona"Itawaramba"
 
Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea.

View attachment 2621414

Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao)

Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.

Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).

Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.

Nawasilisha.
Umeona mapema jambo hilo ni kweli kuna hali flani ya kubanwa kifua hasa usiku watu tuwe makini zaidi na kinga ya miili yetu kutumia mitishamba na kwenda hospitali.
 
Watu wangapi wanakufa na hamjaja kuanzisha nyuzi kama hizi? Au kwa kua ni Hawa wawili waliokufa ndio unakuja na nyuzi kama hizi?

Kufa tutakufa tu, uongeze juhudi kwenye kujilinda au usiongeze juhudi siku ikifika lazima uteme ndoano tu.

Kwa imani yako Mtafute Mungu. Nyungu, santizer, maji tiririka hayatakusaidia siku hofu yako ijapo.
 
Mimi niewashauri watanzania wachukue tahadhari za kiafya. Kama wewe unaishi Ulaya, tulize mshono sisi tunaoishi Tanzania tujilinde.
Hata Ulaya ipo. Kuanzia mwezi March maambukizo yako juu ila chanjo zinasaidia japo bado kuna vifo hasa kwa wazee na wenye matatizo ya kiafya. Infact covid haijawahi kuondoka tangu ilipoingia.
 
Na watu wengi now wanaumwa mafua na kikohozi
Mafua na kikohozi inaweza kuwa siyo covid bali ni msimu wa mafua tu. Nilipatwa na mafua makali na homa nikadhani ni covid lakini nilipopima nikakuta siyo. NB: Covid ipo lakini siyo kila mwenye mafua na kikohozi ni covid
 
Captain alishasema hili wimbi la 3 litaondoka na mtu iwe isiwe ngoja tusubiri ,captain alienda mbali zaidi na kusema kwamba hata yeye pia ataondoka
 
What do you mean by saying ''kifo ni kifo tu''! Kwani amesema kifo siyo kifo? Au amesema kuna kifo ni kifo, na kuna kifo kisio kifo? Yeye kasema tuchukuwe tahadhari.
🤣🤣👐👐👐 basi ndugu nimekosea, hatulipwi hapa.
 
Kwa imani yako Mtafute Mungu. Nyungu, santizer, maji tiririka hayatakusaidia siku hofu yako ijapo.
Hata mimi kwenye mnakasaha wangu nimesema tumtangulize Mungu. Haya ndiyo matatizo ya kukimbilia kucomment kabla ya kusoma mnakasha.
 
Mafua na kikohozi inaweza kuwa siyo covid bali ni msimu wa mafua tu. Nilipatwa na mafua makali na homa nikadhani ni covid lakini nilipopima nikakuta siyo. NB: Covid ipo lakini siyo kila mwenye mafua na kikohozi ni covid
Hiyo covid unayosema nani kaitaja? Naona umeunganisha nukata vibaya mkuu 😀 😀 😀
 
ACHA UONGO BHANA, VIRUSI WAPI BHANA WEWE...

HAKUNA CHA COVID WALA NINI....

ACHENI KUWAPA WATU MIPRESSURE


Check TBC1 kuagwa kwà BM, viongozi hawajavaa yale madaso ya kuzibia pua na mdomo. Meaning Hakuna Covid

USITUTISHE BHANA!!! MPUUZI MMOJA UMEJAA MI U.T.I UNAINGIA HUMU JF KUANZISHA THREAD ZA KUTISHA WATU!!!

JIHESHIMU BHANA!!

ASEE MODS EEH,..FUTENI HILI LI UZI LAKE! HUYU JAMAA NI KIAZI SANA!!!
🤣🤣🤣🤣🤣👋👋
 
Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea.​

View attachment 2621414
Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao)

Kwa mujibu wa daktari wa familia, kifo cha Membe inasemekana kimesababishwa na virusi vilivyoshambulia mfumo hewa vilivyopelekea damu kuganda. Na kama tujuavyo, virusi huwa active zaidi wakati wa baridi, kama ilivyowahi kutokea mwaka 2019.

Taarifa za kifo cha Lemtuz hazijaeleweka vizuri lakini nimesikia tetesi kuwa alikuwa na shida ya moyo. Na kwa kuwa virusi hushambulia zaidi wazee na watu ambao afya zao zimedhoofishwa na magonjwa mengine, sasa naanza kuunganisha nukta kuwa ipo haja ya watanzania kuendelea kuchukua tahadhari, kama tulivyowahi kuchukua siku za nyuma, hasa wakati huu tunapoisogelea miezi ya baridi (Juni na Julai).

Turejee utamaduni wetu ule tuliofanya kipindi kile ili kuokoa afya zetu na tumuombe Mungu aendelee kutupigania kwa kuwa Yeye ndiye muweza wa yote. Amina.

Nawasilisha.​
Juzi na jana na leo kijijini kwenu wamezika wangapi?
 
Back
Top Bottom