Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Habari wadau.

Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.

Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.

Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.

Nelson alikuwa anasoma accounts kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.

Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.

Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.

Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.

Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu

Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.

Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.

Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.

Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.

Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B

Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV

Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa HIV complications.

Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias kihombo. Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.

Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.

Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa sana mpaka napitiliza
Pole sana mkuu, ila hao wenzio hasa wa big four walikuwa na kazi za kuwaweka busy sana hizo changamoto za STDs walizipataje kwa ubize wao wa kazi? Ila nawe ubadilishe lifestyle ili uwe na amani, simaanishi kuwa upo kama wao ila naona una mawazo sana yanayoashiria kuna kitu hakipo sawa maishani mwako.
 
Acha mawazo hayo mara moja...

Aliwazalo mjinga ndilo humtokea...

Kifo kipo ila maisha lazima yaendelee...

Enjoy ila kuwa makini.

NB: Sijakutuma ukachomeke na kuchomoa
Mnajaribu kukwepa ukweli wa mleta uzi.

Ngono ina madhara kwa makubwa kwa familia.

Wewe wakati unauz nyapu au u atindua hizo nyapu unajifanya hujali.

Mara unapougu gonjw lisilo na tiba unawaumiza Wazazi wako na ndugu zako unawaacha na maumivu makali.
 
Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias kihombo. Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.





Kumbe inasemekana huna uhakika kwanini uchafue watu Tena Kwa majina acha kujitia umuch know kwamba unafahamiana na watu mashuhuri.. Tulia na mpenzi mmoja, kula vzr, angalia video, fanya mazoea I, SALI, Subiria kufa hakuna LA ziada
 
"Ukipata UKIMWI ufe na wakuzike huko huko wasikulete nyumbani kabisa"

Huu ni mkwara wa bi mkubwa (RIP) alionipiga wakati nakwenda kuanza kidato cha kwanza sehemu moja iliyokuwa na UKIMWI hatari. Maneno haya sijayasahau mpaka leo na nilishasema kuwa nitakuja kupata UKIMWI kwa njia ambazo ziko nje ya uwezo wangu.

➡️➡️ Usiishi kwa hofu bali kula bata lakini kwa tahadhari. Na usiuze mechi hata kama pisi ni nzuri kuliko malaika!
 
"Ukipata UKIMWI ufe wakuzike huko huko wasikulete nyumbani kabisa"

Huu ni mkwara wa bi mkubwa alionipiga wakati nakwenda kuanza kidato cha kwanza sehemu moja iliyokuwa na UKIMWI hatari. Maneno haya sijayasahau mpaka leo na nilishasema kuwa nitakuja kupata UKIMWI kwa njia ambazo ziko nje ya uwezo wangu.
Inaonekana jamii unayozaliwa kuna ufusika mkubwa sana.

Yaani Kidato cha kwanza tu Mama alishaanza kukutilia mashaka?
 
Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias kihombo. Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.





Kumbe inasemekana huna uhakika kwanini uchafue watu Tena Kwa majina acha kujitia umuch know kwamba unafahamiana na watu mashuhuri.. Tulia na mpenzi mmoja, kula vzr, angalia video, fanya mazoea I, SALI, Subiria kufa hakuna LA ziada

Elias ni mwalimu wa physics maarufu. Hata humu jamiiforums uzi wake upo ambao unaeleza pia kuhusu kilichomuua.

Uvumi ni mkubwa ndio maana nikasema inasemekana
 
Mzumbe University was established by the Mzumbe University Charter, 2007 under Section 25 of the Universities Act. No. 7 of 2005 which repealed Mzumbe University Act. No 9 of 2001.

Umechanganya madesa. Mzumbe university haijaanzishwa 2007.

Mpaka kufika 2007. Mzumbe university ilikuwa inatimiza graduation ya 6 ya wahitimu wake wa univeristy
 
Habari wadau.

Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.

Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.

Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.

Nelson alikuwa anasoma accounts kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.

Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.

Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.

Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.

Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu

Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.

Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.

Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.

Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.

Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B

Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV

Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa HIV complications.

Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.

Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.

Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa sana mpaka napitiliza
Let bygones be bygones; that is the best advice I can offer.



View: https://www.youtube.com/watch?v=BAoCYwefq1A
 
Back
Top Bottom